Uongozi wa CHADEMA Taifa huu hapa

Uongozi wa CHADEMA Taifa huu hapa

Mzee Mtei aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Eac...waziri wa fedha...gavana wa bot.aliwahi kuzuiliwa kwenye border ya Namanga.....aliwahi pia kufanya kazi IMF.Aliwahi kutoa ushauri wa ku teremsha thamani ya shillingi yetu ili kuinusuru isianguke..ushauri haukuzingatiwa hatimae shillingi ikaporomoka.aliwahi kutoka chama tawala na kuanzisha chama cha demokrasia na maendeleo ndiyo hichi kiitwacho CHADEMA.Kuanzishwa kwa chama hicho kulikuwa na watu wa makabila tofauti kutoka mikoa tofauti.kumbuka wakati huo Mwalimu alikuwa hai na asingeweza kuubariki ujinga wa kikabila nchini..na usalama wa taifa ulikuwa unafanya kazi EXTRA MILE naamini mpaka sasa unafanya hivyo.Mwalimu...Sokoine.....uhujumu uchumi..tulitupa TV...tulitupa pesa....vigogo walitiwa ndani hakukuwa na mchezo na tulipendana ndio maana tukafanikiwa.Tuzirudishe fikra nzuri za wakati huo...mazuri tuyachukuwe na ambayo hayatakuwa na faida na sisi tuyaache......tupendane...tusaidiane na tufanye ibada...one day mimi au wewe tutaondoka na hatutarudi tena.
 
Hii ya CCM ni hatari utafikiri ni uongozi wa msikiti!!!!!!
 
Tukizungumzia udini basi CCM imejaa kila kigezo cha kusema ni chama cha kidini. Lakini sisi hiyo haituhusu tunaangalia utendaji na vigezo vingine
 
1. Mwenyekiti: FREEMAN MBOWE

2. Makamu Mwenyekiti Bara: Profesa ABDALLAH
SAFARI

3. Makamu Mwenyekiti Zanzibar: SAID ISSA MOHAMED

4. Katibu Mkuu: Dk WILBROD SLAA

5. Naibu Katibu Mkuu Bara: JOHN MNYIKA

6. Naibu Katibu Mkuu Bara: SALUM MWALIM

7. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee: HASHIM JUMA ISSA

8. Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake: HALIMA JAMES
MDEE

9. Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Bara
HAWA MWAIFUNGA 0. Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake

Zanzibar:
HAMIDA ABDALLAH

1. Mwenyekiti wa Baraza la Vijana: PASCHAL KATAMBI
PATROBAS

2. Makamu Mwenyekiti Baraza la Vijana Bara: Patrick
Sosopi Kapura

3. Makamu Mwenyekiti Baraza la Vijana Zanzibar: Zeud
Mvano Abdulahi

4. Baraza Kuu Zanzibar: Janeth Medadi Fusi

5. Baraza Kuu Bara: Janeth J. Mjungu, Restitusa Said
Mjoka, Marietha Cosmas Chenyenge, Suzan Hashim
Kiwanga

6. Wajumbe wa Mkutano Mkuu waCHADEMA Taifa:
Janeth Elibariki Moshi, Edson Joel Mwemaelu, Masule
Samson Masaga, Penina Ernest Nkya, Daniel Ezekiel
Mswelo, Lutgar Chemicha Haule, Elizabeth Joseph
Riziki, Samuel Gibson Shami.

7. Wajumbe wa Mkutano Mkuu

CHADEMA Zanzibar:
Ally
Kassim Ismail, Sued Abdulhimid, Hassan Abdallah
Hamis

8. Wajumbe wa Baraza Kuu CHADEMA Bara:
Pasquina
Ferdinand Lucas, Pamela Simon Maasay, Joseph Loth
Kasambala, Helen Nangusu Dalali.
ukitaka kujua ni uchaga mtukula, wewe jifanye kichaa kugombea uende kitu taifa.......,
 
Mbona hao waislam wameishia kuwa manaibu na makamu tu, weka list ya wakurugenzi nayo tuione.
 
Ukitaka kujua chadema ni uchaga, wewe jifanye kichaa kugombea uenyekiti taifa......, kamuulize kitila mkumbo!
 
Ukitaka kujua chadema ni uchaga wewe jifanye kichaa kugombea uenyekiti taifa.....
 
Ukitaka kujua chadema ni uchaga wewe jifanye kichaa kugombea uenyekiti taifa.....



Sasa ukabila unakusaidia nn kuuzungumza kila saa, wewe uwe mchaga, msukuma, mnyamwezi inatusaidia nn, acheni kuhubiri ukabila
 
siwaoni akina philipo man'gula hapo na tunajua fika umefanya makusudi kutokuweka.
lakini hata hivyo hizo porojo zako haziondoi ukweli kuwa chadema kimajaa wachaga na wakristo.



Sasa wewe si Abunuas au
 
siwaoni akina philipo man'gula hapo na tunajua fika umefanya makusudi kutokuweka.
lakini hata hivyo hizo porojo zako haziondoi ukweli kuwa chadema kimajaa wachaga na wakristo.



Sasa wewe si Abunuas au
 
Uchaga na udini katika ubora wake

na mwaka huu lazima tuimalize moja kwa moja hii biashara yenu ya udini na ukabila chagadema



uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
mwenyekiti cwt Sophia Simba
mwenyekiti uvccm Sadifa Juma
mwenyekiti wazazi Abdallah Bulembo
makamu uvccm Mboni Mhita

Nitafutie Mkristo hapo.
 
hao wote hawana maamuzi,wenye maamuzi ni wachaga kina mtei. wengine ni mshahara mkubwa tu ili wakae kimya.

uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
mwenyekiti cwt Sophia Simba
mwenyekiti uvccm Sadifa Juma
mwenyekiti wazazi Abdallah Bulembo
makamu uvccm Mboni Mhita

Niangalizie dini hapo.
 
Mbona hao waislam wameishia kuwa manaibu na makamu tu, weka list ya wakurugenzi nayo tuione.

uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
mwenyekiti cwt Sophia Simba
mwenyekiti uvccm Sadifa Juma
mwenyekiti wazazi Abdallah Bulembo
makamu uvccm Mboni Mhita

Nitafutie hata naibu basi hapa
 
Tukizungumzia udini basi CCM imejaa kila kigezo cha kusema ni chama cha kidini. Lakini sisi hiyo haituhusu tunaangalia utendaji na vigezo vingine

Maneno yako yanakaukweli ndani yake.....kwani hili neno Mahakama ya Kadhi ni watu gani walilileta katika mikutano ya siasa na hatimae kuingia katika Ilani ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom