Recent content by OPTIMUS TZ

  1. O

    M23 waua Meja wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) - UN Yalaani!

    Hii shughuli ya Kongo ilikuwa ni biashara ya UN ila Mjinga moja kutoka Msoga ndio kaaribu na kauli yake ya kuwa fagilia waasi wa kihutu (WAUWAJI WA 1994 RWANDA) sasa imekuwa suala la kisiasa na kuvuruga uhusiano wa East Africa ................rest in peace Major- JK hata kosa...
  2. O

    Zitto Kabwe awalipua wazungu!

    Huyu ni pandikizi la TISS kuvuruga hiyo hoja na mwisho wa siku hakuna atakaye tajwa wa kuchukuliwa hatua .Zitto ni nduni la kuwili fist class
  3. O

    Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

    generaly african are still in the jungle schologicaly thinking like gorila or mafisi even if you give them whole elephant, they will still fighting while eating, some will kill their fellows while there is enough for every one ;we tanzanians a lazy, fool heads and selfish yaani...
  4. O

    Ni uzembe wa hazina au serikali ya JK imeshindwa kulipa mishahara?

    President Jakaya Mrisho Kikwete former government Master of Ceremonies , Chief political advisor Bi Salama Kitwete former standard 2 kiwahili teacher, Chief political advisor Ridhiwani Kikwete Hakuna rangi mtaacha ona kama hamridhiki mlishaelezwa mgogoro wa nini acheni kazi!
  5. O

    Watatu wafutiwa mashtaka kesi ya kutorosha wanyama hai

    Hao walio achiwa ndio wanaushahidi juu ya uhusika wa Kinana na magamba wengine sasa wanawaleta mtaani wawauwe moja baada ya mwingine chezea Somali wewe
  6. O

    Kinana afanya Ziara ya kushtukiza Tabora...!

    Wazazi Tembo wataoweka kama faru huyu jangili akikaa hapo mpaka 2015
  7. O

    Ndugu wa Kinana ni vinara biashara haramu

    Sasa Horiyaa wote watakuwa ndugu zake Kianana na watahamia Tz kwa fujo na Tembo wataijua habari yao..kwani Kinana hali Gomba aka Mirungi ................CCM wamechoka kutawala
  8. O

    Ndugu wa Kinana ni vinara biashara haramu

    Wazazi,Kampuni ya clearing ya Kinana ndio ilisafirisha pembe za ndovu vilizo shikwa Vietnam,wakati ule mama Kilango aliposema kuwa kuna kigogo wa CCM anahusika ni Kinana Poucher number Moja Tz akishirikiana na Luhanjo ;Ile dili ya kutorosha wanyama ..................kwa ndege yumo na...
  9. O

    Mwandosya anatutia hasara ya mamilioni kwa mwezi

    Acheni unafki na ukabila Mtu mgonjwa akae hospital au Nyumbani ,utaratibu wa serikal ni kuwapa watu wenye afya na akili nafasi si walio hoi ktandani ,gari bovu kwao ni garage au juu ya mawe si njiani...............Mwandosya anapaswa kujipima ,kujitazama na kujifikiria kama kweli anastahili...
  10. O

    Zitto: Mabilioni ya Uswisi – Tusigeuzwe Mazezeta

    Undumilakuwili ni kazi mbaya , watu wangu, zitto anamfanya nani mtoto? Kazi hii kapewa na tiss na mafisadi ashikilie hii hoja wana chadema na watanzania wengine wasiipate hoja ya zitto,majina si alisema anayo sasa zogo la nini...si ayataje kama lisu alivyotaja majaji ............zito hoja...
  11. O

    Zitto: Mabilioni ya Uswisi – Tusigeuzwe Mazezeta

    zuberi zito kabwe mtu wangu hakuna kazi mbaya kama ya undumilakuwili umepata kusikia habari ya yudaikariote aliye msaliti yesu kristo,au unamkumbuka amani walid kaboru ...kaka ukonjia moja na watu hao. Utakuja kukuumbuka na utakufa ukiwa kijana, wewe ulisema majina unayo sasa unapiga mdomo...
  12. O

    Kura ya maoni: Edward N. Lowassa v/s Bernard K. Membe

    9.Edward Lowasa ni Mwizi 10.Edward Lowasa ni Mlarushwa 11.Edward Lowasa ni mtu mwenye uchu wa mali na madaraka kuliko Mamba mwenye njaa 12.Edward Lowasa atasababisha mauti ya CCM eeMUNGU mpe maisha marefu na wafuasi wengi vipofu
  13. O

    Mh. Kikwete, Tundu hatafuti umaarufu wa kisiasa!

    Mrajisi.ni kama mkuu wa makarani pale mahakama kuu zanzibar huku mahakamani ananyonga; watu shuleni anafundishwa sheria .........................nchi kiboko lawyers mahali pengine wangeandamana ila wetu kimya kabisa
  14. O

    Kikwete: Nateua Majaji kwa Mujibu wa Mapendekezo ya Tume ya Kuajiri

    Kama mtu hana degree ya sheria ujaji anaupateje? LISU jembe kalima kazi kwao kufukia mahakama imepoteza heshima yote kwa tabia za kishetani za udini,ukanda,ngono,kulindana na upendeleo wa wazi
  15. O

    Hapa Lowassa hatoki...

    Ieleweke EDWARD LOWASA SI MMASAI KWATU HUYU NI MMERU ,MMERU NI MCHAGA ANANAYEKAA ARUSHA LUGHA,MILA,KOO NAKILA KITU NI SAWA NA MCHAGA WA MACHAME,huko Monduli alikwenda kulowea,Ukoo wake na ndugu zake wote wako Arumeru aliko mbwagwa ubunge na mkwe wake. Kuwa yeye ni nani nchi hii ni Mwizi wa...
Back
Top Bottom