Bishop Hiluka
R I P
- Aug 12, 2011
- 7,150
- 14,724
Mpeni miezi sita tu, stori nzima itabadilika...
CDM mtawapanga watu wa kuzomea CCM wanapanga watu wa kupiga kura
naona ni jia tu kuelekea Arusha....hahahaTabora kuna Mbuga za Wanyama?
Bahati mbaya sana kwa wachangiaji wa jukwaa hili, nasema ni bahati mbaya kwani hili linalotendeka humu halifunzi, halikuzi wala haliendelezi bali lina kera, linaudhi, na kupotosha. Jambo hili hasa hufanywa na pro-chadema katika jukwaa hili ambapo wengi katika wao huwa hawana kawaida wala utaratibu wa kujadili kitu kwa hoja bali hudhiaki, hukejeli na kutukana, hata katika yale ya msingi yenye kugusa utaifa wetu yatupasajo kuyajadili kwa umakini na hekima kuu.
Niliwahi kupata sema sehemu kuwa miongoni mwa jambo baya ambalo upinzani hasa chadema wamekuja nalo ni pamoja na kutuma vijana katika vyombo vya habari lakini pia mitandao ya kijamii ambapo wanapotosha, wanatukana na kukashifu viongozi wa chama na serikali. wanasambaza chuki na kufitinisha watu na makundi ya watu.
Nchi hii inayo misingi inayotulinda na kutuelekeza namna gani tuishi, ikihimiza kuheshimiana, utii na kushirikiana chini ya dhana kuu ya Ujamaa, tukijengewa misingi ya upendo na mshikamano, vitu ambavyo kwa sasa vinadharauliwa na kubezwa watu wakapanda mbegu za ubaguzi, ukanda, udini na chuki. Tulipokusudia kama Taifa kuanzisha vyama vingi wengi katika watu wliliona hili na kulihofia lakini kwa hekima za baadhi yetu walio na mamlaka wakakubali kuwa tuanzishe mfumo wa vyama vingi lakini kwa utaratibu huu tunaoenda nao tutafanya Taifa lisiwe salama.
bahati mbaya sana kwa wachangiaji wa jukwaa hili, nasema ni bahati mbaya kwani hili linalotendeka humu halifunzi, halikuzi wala haliendelezi bali lina kera, linaudhi, na kupotosha. Jambo hili hasa hufanywa na pro-chadema katika jukwaa hili ambapo wengi katika wao huwa hawana kawaida wala utaratibu wa kujadili kitu kwa hoja bali hudhiaki, hukejeli na kutukana, hata katika yale ya msingi yenye kugusa utaifa wetu yatupasajo kuyajadili kwa umakini na hekima kuu.
Niliwahi kupata sema sehemu kuwa miongoni mwa jambo baya ambalo upinzani hasa chadema wamekuja nalo ni pamoja na kutuma vijana katika vyombo vya habari lakini pia mitandao ya kijamii ambapo wanapotosha, wanatukana na kukashifu viongozi wa chama na serikali. Wanasambaza chuki na kufitinisha watu na makundi ya watu.
Nchi hii inayo misingi inayotulinda na kutuelekeza namna gani tuishi, ikihimiza kuheshimiana, utii na kushirikiana chini ya dhana kuu ya ujamaa, tukijengewa misingi ya upendo na mshikamano, vitu ambavyo kwa sasa vinadharauliwa na kubezwa watu wakapanda mbegu za ubaguzi, ukanda, udini na chuki. Tulipokusudia kama taifa kuanzisha vyama vingi wengi katika watu wliliona hili na kulihofia lakini kwa hekima za baadhi yetu walio na mamlaka wakakubali kuwa tuanzishe mfumo wa vyama vingi lakini kwa utaratibu huu tunaoenda nao tutafanya taifa lisiwe salama.
Mkuu mbona sioni POINTI hata MOJA , Yani sentensi zote hizo alafu natoka kapa?
kafie mbali kule na pumba zako!!!!!!!!
Nchi hii inayo misingi inayotulinda na kutuelekeza namna gani tuishi, ikihimiza kuheshimiana, utii na kushirikiana chini ya dhana kuu ya Ujamaa, tukijengewa misingi ya upendo na mshikamano, vitu ambavyo kwa sasa vinadharauliwa na kubezwa watu wakapanda mbegu za ubaguzi, ukanda, udini na chuki.[/QUOTE]
Hii misingi imeuliwa na CCM; hushangai Dr. Dhaifu anashangaa "Kwa nini CCM inachukiwa hivi? Naomba umweleze ameua hiyo misingi ya kitaifa na kuasisi misingi ya ubinafsi, kudharauliana, kubezana, ubaguzi, udini na chuki.
Tulipokusudia kama Taifa kuanzisha vyama vingi wengi katika watu waliliona hili na kulihofia lakini kwa hekima za baadhi yetu walio na mamlaka wakakubali kuwa tuanzishe mfumo wa vyama vingi lakini kwa utaratibu huu tunaoenda nao tutafanya Taifa lisiwe salama.[/QUOTE]
Vyama vya siasa havikuanzishwa kwa matakwa ya watawala bali kwa kutishiwa kukatishiwa misaada. CCM ikaasisi vyama kwa kutumia mamluki wake. Na wengine waliokataa kutumika walipata tabu lakini wamesimama. Usalama wa taifa lo lote una misingi katika tunu za taifa zilizouawa na CCM kwa Azimio la Zanzibar na uchumi holela, Walisahau kuua kusiko halali damu inatafuta na kutafuna.
Sasa yote unayoyalalamikia ni matokeo ya kuua uhalali na uhalisia wa taifa. Nakuomba jitayarishe na dhoruba ya mabadiriko; maana hapatakuwa na salia mtume.
Well said tandale hawa wengi wao ni wahuni wasio na wajibu ktk jamii watu wasio na mbele wala nyuma ,wamekata tamaa kwa kutopenda kazi ,hawana maadili kazi yao kubwa ni majungu na kutukana watu ukiwauliza wanasema eti ukomboziBahati mbaya sana kwa wachangiaji wa jukwaa hili, nasema ni bahati mbaya kwani hili linalotendeka humu halifunzi, halikuzi wala haliendelezi bali lina kera, linaudhi, na kupotosha. Jambo hili hasa hufanywa na pro-chadema katika jukwaa hili ambapo wengi katika wao huwa hawana kawaida wala utaratibu wa kujadili kitu kwa hoja bali hudhiaki, hukejeli na kutukana, hata katika yale ya msingi yenye kugusa utaifa wetu yatupasajo kuyajadili kwa umakini na hekima kuu.
Niliwahi kupata sema sehemu kuwa miongoni mwa jambo baya ambalo upinzani hasa chadema wamekuja nalo ni pamoja na kutuma vijana katika vyombo vya habari lakini pia mitandao ya kijamii ambapo wanapotosha, wanatukana na kukashifu viongozi wa chama na serikali. wanasambaza chuki na kufitinisha watu na makundi ya watu.
Nchi hii inayo misingi inayotulinda na kutuelekeza namna gani tuishi, ikihimiza kuheshimiana, utii na kushirikiana chini ya dhana kuu ya Ujamaa, tukijengewa misingi ya upendo na mshikamano, vitu ambavyo kwa sasa vinadharauliwa na kubezwa watu wakapanda mbegu za ubaguzi, ukanda, udini na chuki. Tulipokusudia kama Taifa kuanzisha vyama vingi wengi katika watu wliliona hili na kulihofia lakini kwa hekima za baadhi yetu walio na mamlaka wakakubali kuwa tuanzishe mfumo wa vyama vingi lakini kwa utaratibu huu tunaoenda nao tutafanya Taifa lisiwe salama.
ahongera kinana kwa mwanzo mzuri.watanzania tuna imani na wewe
a
Sisi tusiokuwa na imani naye unatupa Uraia wa wapi? maana siku hizi unaweza kupata Urai popote, Kinana ni Msomali lakini ndiye anayenufaika na Tembo wetu.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amefanya ziara ya kushtukiza katika Mkoa wa Tabora asubuhi hii ambapo amekutana na Mkuu wa Mkoa huo Bi Fatma Mwasa na pia kukutana na viongozi wa Chama wa Mkoa ambapo alifanya kikao kidogo na viongozi hao akisisitiza juu ya utekelezaji wa Ilani na maagizo ya Mkutano Mkuu wa kufanya Mikutano ya ndani na nje na kutembelea mashina. Alisisitiza kuwa litakuwa ni jambo la ajabu ikiwa yeye kama Katibu Mkuu wa Chama katika ziara zake anatembelea na kufungua mashina kisha viongozi wa Mkoa ama eneo husika hawatembelei mashina hayo wala kufuatilia maendeleo yake.
Ndugu Kinana alitua Tabora Asubuhi hii akiwa njiani kutoka katika Mkoa wa Rukwa ambako alifanya Mkutano wa Hadhara na pia kufungua shina la Isesa wilayani Sumbawanga. Ndugu Kinana hivi punde ataendelea na Ziara yake, ambapo ataelekea Geita ambako atafanya Mkutano wa Hadhara na pia kufuatilia kero za wachimbaji wadogo pamoja na hali za waajiriwa katika migodi.
View attachment 72124 View attachment 72125
Hivi Tabora kuna tembo kweli maana kama wapo basi alienda kuwinda...
Wanajamvi hebu tupeni maelezo ya waliomo katika hiyo picha..... huyo mama mnene ndiyo mkewe kinana au?