Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,090
Utawalaanije wazungu kwa ujinga wa Mwafrika?
Tena usiombe Mwafrika mwenyewe awe na IQ kama ya Baba riz.
Utawalaanije wazungu kwa ujinga wa Mwafrika?
jamaa kathubutu, hongera sana Zitto.
Wenyewe ni watu safi,maadui wetu sisi ni wazungu tu!!
Wanataka kutufanya wajinga,hii haikubaliki hata kidogo!Kweli TUKUTUKU, UMESEMA SAHIHI. WAZUNGU TU KWA KUWA NI WAZUNGU HAO NDIO ADUI ZETU. WAARABU WAJE NA MADAWA, USHOGA, UJINGA, UAMSHO, UCHUKUAJI ARDHI NA WANYAMA WETU WALE NI WATU SAAAAFI KABISA!!!!
MCHANA MWEMA.
Wanataka kutufanya wajinga,hii haikubaliki hata kidogo!
Precisely mkuu!!Wajinga ndio wao wanaodhani wamejisetiri hawaonekani kumbe wao ndio hawaoni na dunia nzima inawaona.
Nilivyoisoma habari hi toka IPP Media Zitto Zuberi Kabwe Mbunge kupitia Chadema amefanikiwa kufikisha ujumbe sahihi bila kigugumizi kwa mataifa haya ya nchi za magharibi wanaotumia werefu mkubwa kutuibia uchumi wetu kwa janja ya kuja kuwekeza huku wakichomoa zaidi ya wanachowekeza.
Uchambuzi wake katika mada iliyowakilisha imeonekana kutulia, ujumbe umewafikia, na huko kwenye vikao vyao vya umoja wa nchi za ulaya watayajadili.
Nchi ya Uswiss inanishangaza sana kutokana na kuwa na makao ya mojawapo ya Umoja wa Mataifa lakini hawao makini katika kulinda rasilimali za nchi maskini ila kufungua milango ya kupokea fedha haramu ziingizwe kwenye mzunguko wa uchumi wa nchi zao kwa njia ya mabenk.
Kweli maji hufuata mkondo. Zito ananikumbusha Jakaya alivyokwenda South Africa akakurupuka eti wazungu watulipe kama fidia ya biashara ya utumwa. Jamaa akawa hata hajui ni sehemu gani ya Tanzania ambako wazungu walikuja kuchukua watumwa. Alionekana kama katoka pangoni. Kwa nini hawa watu wanakosa ujasiri wa kuhoji Waarabu waliojizolea watumwa lukuki Africa na kwenda kuwaua kikatili huko kwao?
Haki huokoa Taifa. Achieni upendeleo. Mzani wa haki humpendeza Mungu. Kuwadai wazungu na kuwaacha mataifa mengine kama waarabu na mafisadi wa ndani ni dalili za chuki binafsi dhidi ya Wazungu na kutokuwa na nia ya dhati ya kukomboa taifa.
Kweli maji hufuata mkondo. Zito ananikumbusha Jakaya alivyokwenda South Africa akakurupuka eti wazungu watulipe kama fidia ya biashara ya utumwa. Jamaa akawa hata hajui ni sehemu gani ya Tanzania ambako wazungu walikuja kuchukua watumwa. Alionekana kama katoka pangoni. Kwa nini hawa watu wanakosa ujasiri wa kuhoji Waarabu waliojizolea watumwa lukuki Africa na kwenda kuwaua kikatili huko kwao?
Haki huokoa Taifa. Achieni upendeleo. Mzani wa haki humpendeza Mungu. Kuwadai wazungu na kuwaacha mataifa mengine kama waarabu na mafisadi wa ndani ni dalili za chuki binafsi dhidi ya Wazungu na kutokuwa na nia ya dhati ya kukomboa taifa.
Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe mbunge wa Kigoma Kusini na Waziri Kivuli wa CHADEMA amewalaani wazungu kwa utapeli na uporoji mkubwa wanaoufanya dhidi ya Waafrika! nadhani umefika wakati kwa Serikali yetu kuamka na kua macho na Wazungu wote wanaoingia nchini mwetu kwani hawana nia nzuri na nchi yetu!
habari zaidi kuhusu hoja za Zito gonga hapa: Home
Nadhani this presentation should be taken in its original context,Utawalaanije wazungu kwa ujinga wa Mwafrika?