serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania imepunguza ada ya vyuo vikuu vyote vya serikali na private kwa asilimia 40 kwa faculty zote.
Taarifa hii limetolewa rasmi na tume ya vyuo vikuu vya tanzani na imethibitishwa kwamba viwango hivyo vipya vya ada vitaanza kutumika rasmi mwaka wa masomo...
Brand: Hp Probook
Model No: 4520s
Harddisk:500gb SATA, Ram4gb, ddr3
Speed: 2.4ghz, Core i3
Screen 15.6inch,webcam,
wireless & dvd room.
x x x
bei ni Tsh 650,000/=
imetumika kidogo na iko kwenye good conditions na haisumbui battery.
mimi napatikana mbezi dar, your all...
Wana Jf Habari Zenu.
Mara nyingi nimekuwa nikiagiza bidhaa mbali mbali kutoka nje ya tanzania ila kero kubwa imekuwa ni makato makubwa yanayotozwa pale bandarini bila kuzingatia viwango halisi vya ushuru wa bidhaa yenyewe.
Licha ya hapo kuna usumbufu mkubwa sana tangu bidhaa inapowasili hadi...
habari wana jf
natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mikocheni A,msasani au karibu na masaki. nyumba iwe self contained ya kawaida na bei isizidi laki nne kwa mwezi. mwenye taarifa yoyote juu ya hili naomba anijulishe tafadhali natanguliza shukrani.
Mbona Vigezo ni Vyepesi sana? au kwa kuwa ni kwa matumizi ya Muda mfupi tu!
....no! sio kwa matumizi ya muda mfupi i wish to go far with her if we will understand each other.
This is very serious, I'm looking for a girl friend aged 20-23, HIV (-) who respect herself, good looking, a bit tall, living in Dar.
I,m 25 yrs, 6ft tall, deep voice, HIV (-) ,a bit white.
so please send me a pm.
Salam Ndugu Wana Jf
Naomba Mwenye Kujua Full Postal Adress Ya Wizara Ya Ujenzi Anipatie Tafadhali Ninaihitaji Sana Na Nipo Mbali Na Offisi Zao.
Natanguliza Shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.