hata uwe genius lecturer akiamua udisco unaenda tu labda iwe vyuo vyetu hivi.........
Hakuna kitu kama hicho labda hicho chuo ni cha lecturer.
hata uwe genius lecturer akiamua udisco unaenda tu labda iwe vyuo vyetu hivi.........
Huyu msichana inasadikika anatoka na lecturer wa hapa chuo,amekuwa akionesha kunipenda.
So najiuliza kuna ubaya wowote nitakuwa nimefanya kutoka nae sababu na mimi nampenda sana.
Malecture wengi wanangoma..wamepata kwa watoto wa mama salma
hata nikijificha nahc atajua tu coz mtt anashindwa kuhide feelingsJifiche mno asijue
Huyu msichana inasadikika anatoka na lecturer wa hapa chuo,amekuwa akionesha kunipenda.
So najiuliza kuna ubaya wowote nitakuwa nimefanya kutoka nae sababu na mimi nampenda sana.
najiweza class
acha uboya piga buku madem kibao kitaa ukiendekeza sana hawa viumbe inakula kwako mkuu tena demu wa lecture?...mshike sana elimu usimwache aende zake
Acha kuendekeza mapenzi, soma kwanza hayo mapenzi utayakuta tu miaka michache ijayo
Malecture wengi wanangoma..wamepata kwa watoto wa mama salma
Nlifikiri una akili na busara kumbe kichwa boxacheni kunitisha