Recent content by ophy

  1. O

    Umbea wa town kutoka kwa Muke ya Simbaaa (Zari)

    Kwa hiyo wasioenda Labour hawana sifa ya kua wanawake kamili?? [emoji23][emoji23][emoji23] Lowasa alisema Elimu! Elimu ! Elimu!
  2. O

    Umbea wa town kutoka kwa Muke ya Simbaaa (Zari)

    Tumshukuru Mungu kwa kila jambo na aliekupa wewe ndyo kamnyima yule. Zari inajulikana kabisa alikua anamlenga nani, kuzaa si kupata unaeza zaa wakawa mashoga mwisho ufe kwa stress umuache hai yule ambae hajazaa. Mungu wajaalie wote wasio bahatika kupata watoto waweze kupata watoto.
  3. O

    Wasaidizi wa kazi za ndani na maswahibu yao makazini

    Usinikumbushe mimi nimemfuma juzi anakula chakula cha mtt wangu ambaye ana miez 8, nikakaa kimya. Sasa ikabidi nimuulize pembeni mwanangu mkubwa kuhusu tabia za dadi, yaan kumbe huwa anakula vyakula vya mtoto cjui uji, cerelac , maziwa yaan chochote atachopika cha mtoto anaenda nae pasu kwa...
  4. O

    Moro Town: Mji unaoongoza kwa wajanja Tanzania

    Daah umenikumbusha mbali sana na hiyo Hiace ya Kazaliwa macca. Nilikaa Moro miaka 4 wakati nasoma Kigurunyembe. ukitoa Dar na Mbeya napenda kuishi Moro.
  5. O

    Bifu la Harmonize na team Wema lachafua hali ya hewa

    Kuna show alifanya tanga, alikiimba icho kipande na akamtaja Wema, dogo kakosea.
  6. O

    Raymond - Natafuta Kiki (WCB new song)

    Bonge la song
  7. O

    Ungependa kuolewa na mwanaume wa kabila gani?

    Mnyakyusa..wanajali, watafutaji, wana hofu ya mungu, kwenye elimu wanajitaidi.
  8. O

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Vijijini kuna maisha magumu sana wacha tujazane Darisalama
  9. O

    Shida ya daraja: Wanawake wa Mbeya wadandia nyaya kuvuka mto

    Mwee bhikupila ekisa, home sweet home. Sauli afanye kutengeneza daraja hata la mbao jaman au anasubiri watu wafe ndo wajifanye wamestuka.
  10. O

    Ni jinsi gani unaweza kumsamehe mwenzi wako pale anapokiri kosa

    Afanye yote asinisaliti maana hata nikisamehe, ntapokua nakumbuka ntaumia mnoo.
  11. O

    Call ya house girl kwa mume wangu

    Nipo kwenye ndoa mwaka wa 9 sasa ila cm ya mume wangu naikagua kama mtaalam wa IT ingawa ni pale ninapojickia kufanya ivyo, huyo anaesema sijui wa miaka 10 wana ivi na huyo wa 6 kakosea nadhan hana hoja.
  12. O

    Call ya house girl kwa mume wangu

    Kwanza mdada anapata ujasiri gani wa kumuomba mume wangu vocha?? Anapata ujasiri gani wa kumuuliza yupo wapi?? Mimi angeondoka muda huo huo. Kuhusu mume nisingemuuliza chochote kuwa kaongea na nani, ningekaa kimya mpaka tufike naomba simu najifanya nataka kupiga nascreenshot najitumia...
  13. O

    TAHADHARI: Vibaka wamezidi usiku maeneo ya barabara ya Mlimani City

    DAME ilikua zamani sio sasa, alivyotoka gerezani akajifanya analeta enzi kama za zamani ubabe wa kijinga. Watoto wa kiume kama 9 ivi wakamtatua marinda vizuri na picha juu toka siku hyo kawa mpole balaa, usifanye mchezo mbabe akaolewa
  14. O

    Kwanini manesi mnawakata vibaya vitovu watoto vinatokeza?

    Mtoto wangu ana miezi 7, wakati ana miezi 2 kitovu kikaanza kutanuka nikaambiwa nichukue shilingi niweke. Nikachukua sh 200 nikaiviringisha plasta nikambandika yaan sijaamini kitovu kimeingia ndani, wakati nilikua mbishi kweli nilikua siamin kama ni kitu kinachowezekana.
  15. O

    Leyla Rashid vs Jokha Kassim, yupi unamkubali?

    jokha mzui? ha ha ha ha basi me naona sijui kuangalia katika watu wazuri jokha hayupo, maoni yangu lakini
Back
Top Bottom