Hujaelewa vizuri
Tatizo walifahamiana na binti akasema yeye ni bikra. Sasa mda wa harusi unajongea jongea anabadili na kusema inawezekana bikra imetoka. Kwa hali hii binti anaonesha yeye si mkweli wala hana uaminifu.
Pili jamaa anataka kujua ukweli wa mambo ili achukue maamuzi yenye tija. Haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.