Ushauri: Anadai kuwa namuumiza

Namna gani wakuu ..mim kijana enu naomben angalau kaushauri flani ivii. Nina geli frendi ambaye ni mwezi wa tatu huu sasa tuko penzini, kiasi flani iv nampenda ila siku za ivi karibuni amekuwa akilalama kuwa anapata maumivu kwa nyeti zake wakati wa tendo. Sasa jana asubuhi me najiandaa zangu niingie class kanipigia simu kuwa katoka bafuni kuoga kajicheki nyetini kakuta kumetanuka; nikamwambia nikitoka class nitakuja nikucheki ...nmeenda mcheki nmekuta kaa alivonambia. So wakuu nifanyeje ili ni maintain nisimuumize tena mtoto wa watu? Em nsaidie aisee ...

Weka picha
 
Back
Top Bottom