Hello Naomba kujua vyuo vya serikali vinavyotoa mafunzo ya uuguzi kwa ngazi ya cheti.nina mdogo wangu anapenda hiyo fani ana ufaulu wa Biology C ,Chem C,Math D,physic D,English D.
Naomba kujua na muda wa kufanya maombi
Habari zenu wakuu
Naomba kujuzwa namna ya kuomba nafasi na muda wa usajili kwenye vyuo vya kilimo na mifugo MATI)
Mdogo wenu anataka kwenda kusoma huko
Naomba kuwasilisha
Kama kuna kosa lolote tulilifanya kwenu nyie wamiliki na management ya UDART tunaomba mtusamehe,tunahitaji usafiri uwe kwa wakati tunakaa kituoni muda mrefu kusubiri magari yenu ya thamani ,huku mkiwa mmeyapaki kwenye yard zenu na nauli zetu mshachukua .
Me nadhan alilia sana kwa sababu labda hawakupata muda wa kuombana msamaha kwa mambo Yao yaliopita ,pia mwenzie kafa akiwa anajifungua Kama mwanamke lazima uhumie.mbaya halisi na wema hakosi tukumbuke
Hii ndugu yangu hata inanitesa sana ,sikulelewa na Mama na baba ingawa wako pamoja hadi Leo .nililelewa na bibi na mjomba basi mapenzi yangu yote yako kwa bibi. Naumia muda mwingine nawezaje kumfanya mamangu rafiki maana hata nae Hana mapenzi na ukaribu na Mimi .sasa na Mimi ni Mama .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.