Ajira 40000 ziliahidiwa katika mwaka fedha ujao ikumbukwe mwaka wa fedha wa serikal huanza June mpka may mwaka unaofuata kwahyo hiz ajira ni za kuziba kma Mhe. Alivyoahid mwanzon wala si ajira mpyaw
Kwa ualimu pekee ni zaidi ya laki moja maana serikal haijaajiri kwa miaka mingi kwa laki tano labda na sekta nyingine ila hiyo takwimu ya graduate 1200 sio kwel ni chache mno
Kimsingi asalaam aleikum sio salamu ya kiislamu hii ni salamu ya watu wa Masharik ya Kati ikimaanisha kuna amani kumbuka salamu hii ilitumiwa hata na Yesu kristo
Shida itakuja kutokea baadae vijana wataacha kusoma ualimu na baadae kutatokea tatizo la upungufu wa walimu maana watu wanasoma kitu ambacho ktamnufaisha si kwa Passion
Kabisa huyu jamaa yey ndo mtot miak ya 2000 andaz tulikuwa tunanunua sh 10 mpaka sh 20 chai pia ilkuwa hivyohivyo na hata sh 5 ukienda dukan ilkuwa inatumika andazi mtaan limeanza kuuzwa mia na kuendelea miak ya karibun nakumbuk enz hzo naagizwa maandaz ya 200 napewa 11 moja la nyongeza
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.