Only 1 Kalu
Member
- Sep 16, 2018
- 53
- 30
Kabisa huyu jamaa yey ndo mtot miak ya 2000 andaz tulikuwa tunanunua sh 10 mpaka sh 20 chai pia ilkuwa hivyohivyo na hata sh 5 ukienda dukan ilkuwa inatumika andazi mtaan limeanza kuuzwa mia na kuendelea miak ya karibun nakumbuk enz hzo naagizwa maandaz ya 200 napewa 11 moja la nyongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sasa ndio mtoto haswaa. Hujui kuwa kuna mahali miaka hiyo andazi lilikuwa sh 5 (sorry wewe hata mia mbili ya noti hujaikuta itakuwa)
Sent using Jamii Forums mobile app