Nimejifunza mengi kupitia uzi huu. Kwa ufupi tuzidi kumwomba Mungu atubariki tuishi maisha marefu yenye amani, upendo,furaha na mafanikio tunayoyatarajia🙏🙏
Mimi niliachaga kubet. Maana kuna wakati unakula na inakupa hamasa, lakini siku ukiliwa unaliwa kwelikweli tena unapopategemea kushinda ndo panaharibikia hapo. Mambo yote yanaharibika kabsa.
Sio kweli kuhusu wanyiramba. Matatizo ya mtu binafsi hayana uhusiano na kabila analotokea. Kama yeye umeona ana mapungufu usihusishe na watu wa kabila analotokea kuwa wote ni sawa.
Ukizungumzia nyimbo za country lazima utauhusisha wimbo wa THE GAMBLER, Hakika wimbo huo umekuwa burudani na faraja kwa wasikilizaji wengi wa nyimbo za country.
R.I.P Kenny Rogers (my favourite country musician)
Hata mtoto wa kwanza na mwisho kuzaliwa huwa wanakuwa sawa na hizi sifa zilizoainishwa. Halikadhalika mtoto aliezaliwa akiwa ni aidha wa kike au kiume pekee katika uzao wa watoto wengi nayo inaingia humo. Wengi wao wanakuwa hivyo.
Matokeo yake wanashindwa hata kujitegemea kimaisha hasa suala la...
Ujumbe mzuri sana. Tatizo msimamizi wa biashara hasa kwa mtu ambae ni mfanyakazi wa serikali au mwenye shughuli nyingine tofauti na shughuli za Kiserikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.