Ni jambo la kusikitisha sana kuona jinsi Manispaa ya Kibaha inavyowakandamiza Wajasiriamali wadogo, akina mama ntilie, wauza nyanya, matunda, vitunguu, na bidhaa nyingine ndogondogo, wanaopanga biashara kandokando ya barabara.
Leo hii, hata kama unauza debe moja la nyanya au machungwa, lazima...
Habari, Mwezi uliopita mlilipoti kuhusu kuharibika kwa barabara hapa maili moja- kibaha, barabara ya kutoka mtaa wa maili moja shule kwenda kutokea Morogoro road mtaa wa sheli ya zamani,( Diwani-Ramadhani Lutambi -CCM, MB- Sylvester Koka - CCM.
Yaani Hadi Leo hii 6 May 2024, hakuna chochote...
Inaonekana wanajamiiforum wote humu mnaamini uchawi, ishi na watu wote vizur, awe mdogo au mkubwa, kilema au mzma, maskini au tajir, maana hujui kesho yako itakuwaje, na Nan anaweza kuja kukusaidia
Habari Wana jamii forum, ningependa kujua kuhusu hawa watu je sio matapeli? Kwa hapa Kibaha maili moja wapo ukumbi unaitwa mwitongo, kwakweli Wana wanafunzi wengi mno haswa kutoka mikoa jirani, nilimuhoji mwanafunzi mmoja kuhusu utaratibu wao ndo akaniambia ukiwa unaanza unaambiwa mafunzo ni...
Mimi hapa ni boda, napgia hapa mjini dar, nikiwa nafukuzia ajira na kadgree kamoja,
Kwa upande wa kipato cha boda vs walimu ukweli ni kwamba boda wanapata hela sana, hauwezi walinganisha na walimu kwa upande wa boda wa kwenye miji.
tatizo la boda ni kwenye nidhamu ya hela, akipata leo hamsini...
Daah kama kichwa kilivyo hapo juu kuna mdau mmoja wa kolo fc anajitetea eti sababu ya kuchelewa kwa uzi wao ni sababu ya vita vya Ukraine vs Russian.
Et jamani ni kweli nyie makolo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.