CV Dhaifu sana hii kwa mtu kuongoza jiji la Mbeya. Hapa tusitegemee maendeleo yoyote.
Tafadhali nifafanulieni hiyo Self Employed = Celebrity ndo kazi gani? Kwa English yangu ya Form II nakumbuka Celebrity ni MTU MASHUHURI/ MAARUFU.
Naona sasa tumehama na kujikita kwa Gachuma na vijana wake, turudi kwenye hoja "was commander Barlow assassinated?"
Hayo ya Gachuma mnayoyasema mimi nayaona ni mazito yanafaa kufunguliwa thread yake ili yajadiliwe kwa kina
Siamini kama haya maneno ni ya Mheshimiwa Wenje, natamani ningeona clip ya Wenje alipotolea haya maneno.
1. Idadi ya magari haina ukweli,
2. Sababu ya kuzomewa haina ukweli (Wenje anaujua ukweli vizuri zaidi ya muandishi wa "thread" hii),
3. Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ilihusisha mambo...
I beg your pardon hapo kwenye red: I advise you never to trust any politician. They are more or less the same.
Kwa huyo uliyemtaja hapo juu hebu rejea kidogo tu historia yake Kanisani, CCM na kwenye Ndoa yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.