Recent content by omushaija

  1. O

    CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

    CV Dhaifu sana hii kwa mtu kuongoza jiji la Mbeya. Hapa tusitegemee maendeleo yoyote. Tafadhali nifafanulieni hiyo Self Employed = Celebrity ndo kazi gani? Kwa English yangu ya Form II nakumbuka Celebrity ni MTU MASHUHURI/ MAARUFU.
  2. O

    Kura Zetu 528 za "HAPANA" Zimeenda Wapi?

    Acha upuuzi wewe, nenda huko kafie mbele na propaganda zako za kizamani. Kura 528 umezionaje?
  3. O

    Was Commander Barlow assassinated?

    Naona sasa tumehama na kujikita kwa Gachuma na vijana wake, turudi kwenye hoja "was commander Barlow assassinated?" Hayo ya Gachuma mnayoyasema mimi nayaona ni mazito yanafaa kufunguliwa thread yake ili yajadiliwe kwa kina
  4. O

    Pinda akiri kuzomewa Mwanza, afunguka wananchi kusahauliwa

    To Honourable Wenje, congratulations. Your mission (Zomeazomea) was successful.
  5. O

    Wenje aeleza sababu za Pinda kuzomewa Mwanza

    Siamini kama haya maneno ni ya Mheshimiwa Wenje, natamani ningeona clip ya Wenje alipotolea haya maneno. 1. Idadi ya magari haina ukweli, 2. Sababu ya kuzomewa haina ukweli (Wenje anaujua ukweli vizuri zaidi ya muandishi wa "thread" hii), 3. Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ilihusisha mambo...
  6. O

    Baadhi ya wabunge wa CCM na Upinzani wadaiwa kuhongwa na menejimenti ya TANESCO

    I beg your pardon hapo kwenye red: I advise you never to trust any politician. They are more or less the same. Kwa huyo uliyemtaja hapo juu hebu rejea kidogo tu historia yake Kanisani, CCM na kwenye Ndoa yake.
  7. O

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Zitto Zuberi Kabwe for presidency. Huyo Dr. Slaa has expired, akapumzike na mkewe huko hana jipya tena
  8. O

    Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

    Hebu ondoa haya majungu yako hapa bwana.
  9. O

    Hivi tanzania tuna wabungeee?

    Hakuna kitu,
  10. O

    Wabunge wa Upinzani kutoka bungeni ni Utovu wa nidhamu - Kibonde (Clouds FM)

    Hebu msaidie Kibonde kwa kuweka maelezo ya uhalali wa wabunge kutoka nje. Usiishie tu kumbeza kwa mawazo yake
  11. O

    Dr Slaa ndani Kinampanda

    Utabiri?
  12. O

    HUU NDO USHAHIDI WIZI WA BENKI KUU YA TANZANIA ( BoT)

    Hamna kitu hapa bwana hebu India ubabaishaji wako. Xxxxxxxxm
  13. O

    Kuna mkono wa CCM kwenye kesi ya Slaa? Angalia picha hii!

    Fungo jr, alibebwa tu kama kawaida si Bi Mkubwa wa Slaa. Au umeusahau ule mgogoro wa viti maalumu 2010?
  14. O

    Lema: Nilipigiwa Simu na mtu kutoka serikalini

    Wanasiasa bwana, kila siku wanaibua ISIDINGO nyingine!
Back
Top Bottom