Nimemsikia Kibonde akiwa kwenye kipindi Clouds FM akiponda uamuzi wa Wabunge wa upinzani kutoka bungeni jana baada ya Spika Anne Semamba Makinda kupuuza hoja ya Mhe.Mbunge wa Wawi.
Natafuta kundi la kumuweka huyu Jamaa bado sijapata!..
Kama ni kweli Kibonde atakuja kuiponza ile radio ya Kusaga...siku moja ikaingia beef na baadhi ya wana jamii au wanachama fulani sababu ya mdomo wake wa kuropoka!
nimemsikia kibonde akiwa kwenye kipindi clouds fm akiponda uamuzi wa wabunge wa upinzani kutoka bungeni jana baada ya spika anne semamba makinda kupuuza hoja ya mhe.mbunge wa wawi.
Natafuta kundi la kumuweka huyu jamaa bado sijapata!..
Teh teh te teh kwahiyo hana tofauti na mgonjwa wa akili zinazoruka na kurudi. Jamaa zee linajifanya Sharo, . Ngoja nitafute picha yake labda mkiiona mtamuhurumia na meno yake hamsini mdomoni
acha cheap arguments!!
unajidhalilisha
Post yako imenichefua sana japo si mshabiki wa Kibonde.
Inakuwaje mtu mzima unadare KUANDIKA kitu kama hichi!!
unadhalilisha jukwaa na wew mwenyewe,
Yani nimeishiwa maneno yanayofaa kupost humu, ila kwa kifupi ujue mwili unanisisimka kwa shock ya ilixhoandika hapo.
You must be about 15 yrd, hujui dunia, subiri ikufunze
nimemsikia kibonde akiwa kwenye kipindi clouds fm akiponda uamuzi wa wabunge wa upinzani kutoka bungeni jana baada ya spika anne semamba makinda kupuuza hoja ya mhe.mbunge wa wawi.
Natafuta kundi la kumuweka huyu jamaa bado sijapata!..
Nyie mlitaka awasifie ndio aonekane anafaa? Acheni hizo bana. Kwanini asifie upumbavu?
Nimemsikia Kibonde akiwa kwenye kipindi Clouds FM akiponda uamuzi wa Wabunge wa upinzani kutoka bungeni jana baada ya Spika Anne Semamba Makinda kupuuza hoja ya Mhe.Mbunge wa Wawi.
Natafuta kundi la kumuweka huyu Jamaa bado sijapata!..
Kuna mtu aliwahi kuleta hapa historia yake na jinsi alivyoweza kupata kazi. kwa kweli mi nawashangaa mnao mshangaa mtu huyu.
Hebu msaidie Kibonde kwa kuweka maelezo ya uhalali wa wabunge kutoka nje. Usiishie tu kumbeza kwa mawazo yake
Hana tofauti na Spika wa bunge Anne Makinda .Kwa wao jambo lolote liwe zuri au baya likifanywa na wapinzani halina maana lakini jambo lolote hata kama la kipuuzi likifanywa na wabunge wa CC basi ni la maana.Mfano mzuri ni katika kikao cha bunge cha jana mbunge wa upinzani alipotoa hoja ya kuahilisha kikao cha bunge alipuuzwa na baada ya wabunge wa upnzani kutoka nje walisindikizwa na kebehi kutoka wabunge wa CCM.LAKININI HUYOHUYO SPIKA Anna Makinda aliamua kuhairisha kikao baada ya waziri Nchimbi wa CCM kuomba hivyo na leo kikao cha bunge hakikuapo.DOUBLE STANDARD.Nimemsikia Kibonde akiwa kwenye kipindi Clouds FM akiponda uamuzi wa Wabunge wa upinzani kutoka bungeni jana baada ya Spika Anne Semamba Makinda kupuuza hoja ya Mhe.Mbunge wa Wawi.
Natafuta kundi la kumuweka huyu Jamaa bado sijapata!..
Umetumwa na kibonde eh..