Mchezaji gani huyu anapanic akiulizwa maswali magumu?
Afu ni mlagai, alisema amesitisha kutoa pasi kwa mda usiozidi miezi miwili, sasa inaenda kuwa miezi 6 na bado hajatoa pasi kwa wachezaji chipukizi,kazi zake kupiga danadana tu na kupaka mpira rangi, Huyu Pogba hafai kuwa hata mchezaji wa...