Wataalamu wa Kiswahili uwanja wenu hapa.

Wataalamu wa Kiswahili uwanja wenu hapa.

OMTIMBA

Member
Joined
Jun 27, 2015
Posts
72
Reaction score
21
Wataalamu wa Kiswahili ningependa mnisaidie swali hili;
Andika barua kwa Mhariri wa gazeti la Mwananchi juu ya tatizo la ajira Tanzania, jina lako ni KASHAIJA S.L.P 10. Butiama.

Siyo mbaya hata ukinipa tu mambo/ hatua mhimu za kuzingatia ktk uandishi wa Barua za magazetini.
Natanguliza shukrani!
 
Kama unajua jinsi ya kuandika barua ya kikazi na sio ya kirafiki, basi andika.
 
Back
Top Bottom