Msajili wa Hazina Ndg. Lawrence Mafuru hajui au kashasahau lugha ya Taifa ya Kiswahili?

Nani alikwambia ukimbie umande? :D:D:D By the way, kiswahili hakina misamiati ya kutosheleza kuelezea hayo mambo ya kitaalam aliyokuwa anayazungumzia.
Mfano neno 'liquidity' kwa kiswahili ni 'maji maji' kwa hiyo kama angezungumza kwa Kiswahili lugha ya taifa angesema kuwa
'benki nyingi zina kosa hewa (suffocate) kwa kuwa hazina maji maji ya kutosha, kitu ambacho kwa Mbongo wa kawaida angesema kuwa kama benki zinakosa hewa kwa kuwa hazina maji maji ya kutosha, si waende DAWASCO? :(:(:(
hoja dhaifu ww mno muulize onni sigala o masamba
 
Huyu anayelalamika hajamsikia Magufuli...siku hizi haongei akamaliza sentensi bila kuchomekea neno "frustrate" na "Mapato ya Revenue" kwa ajili ya nchi ya Tanzania et....huyu Rais wa CCM nina mashaka kama ni Mtanzania hakyanani!
 
Shida sana hii ...watanzania wengi kikoloni ni shida ..sasa kama mtu aliyepewa dhamana na serikali kutujuza hali halisi analeta mbwembwe za udhungu..maana yake ni kutuficha wengi ambao tunanyanyaswa na kidhungu..
 
Huyu anayelalamika hajamsikia Magufuli...siku hizi haongei akamaliza sentensi bila kuchomekea neno "frustrate" na "Mapato ya Revenue" kwa ajili ya nchi ya Tanzania et....huyu Rais wa CCM nina mashaka kama ni Mtanzania hakyanani!

najiuliza kwa nini alifukuzwa kazi pale NBC
 
Hii video imenisaidia kujua kuwa kumbe serikali imerudisha 500B tu kurudi BOT? Hapa mwenye akili lazima ajiulize kuwa kuna kitu kinafanyika
 
Tunaweza kulaumu sana ila mimi naamni kabisa kuwasilisha mada kwa kiswahili "fasaha" ni vigumu kuliko kutumia Kiingereza. Hata nyie mnaolalamika hebu jaribuni kuongea maongezi ya kawaida tu kwa dk 10 kwa kiswahili fasaha bila kuweka lugha ya mtaani muone kama mtaweza.
 
Tatizo si yeye tatizo ni uchumi ukiongea kiswahili ndo asingeelewa kabisa lugha ya uchumu kwa kiswahili unaweza maanisha vingine
 
Nilfikiri ni mimi tu ndo nilikuwa nalibaini hili, kiufupi mshkaji anapenda sana michomeko ya kimalkia, na baadh ya ndg zang wengi watokao ukanda ule wakipata kacheo tu utawajua tu kwa kutupia vijimaneno visiyo na maana kwenye uwasilishaji wao.
 
HNIC

Kila fani ina lugha na msamiati wake.

"Banking Industry" ina "lugha" au misamiati yake, halikadhalika kwa "Healthcare Industry", "Hospitality industry" na kadhalika.

Kutegemea kuwa Mafuru atakuekeza mambo ya banking bila terminology za kibenki ni upunguani wa hali ya juu.

Mafuru kujitahidi sana kutafsiri terminology za kibenki kwani alijuwa kuna mapunguani kama wewe hamtamuelewa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nani alikwambia ukimbie umande? :D:D:D By the way, kiswahili hakina misamiati ya kutosheleza kuelezea hayo mambo ya kitaalam aliyokuwa anayazungumzia.
Mfano neno 'liquidity' kwa kiswahili ni 'maji maji' kwa hiyo kama angezungumza kwa Kiswahili lugha ya taifa angesema kuwa
'benki nyingi zina kosa hewa (suffocate) kwa kuwa hazina maji maji ya kutosha, kitu ambacho kwa Mbongo wa kawaida angesema kuwa kama benki zinakosa hewa kwa kuwa hazina maji maji ya kutosha, si waende DAWASCO? :(:(:(
HaHHHHhHHaaaaaaaa umenivunja mbavu zng
 
Back
Top Bottom