Wataalamu wa Kiswahili uwanja wenu hapa

Wataalamu wa Kiswahili uwanja wenu hapa

OMTIMBA

Member
Joined
Jun 27, 2015
Posts
72
Reaction score
21
Kwa wale Wataalamu wa Kiswahili ningependa kupata msaada wenu juu ya swali hili:
Andika barua kwa mhariri wa gazeti la Mwananchi kuhusu kero ya ajira Tanzania. Jina lako ni KASHAIJA S.L.P 10 Butiama.

Siyo mbaya hata ukinisaidia tu hatua/mambo mhimu ya kuzingatia ktk uandishi wa barua za magazetini.
 
1:kichwa cha barua-unaandika ktkt ya karatasi yako kwa herufu kubwa..2: mwanzo wa barua, hauachi aya apo..3:lengo....hitimisho ..4:anwani ya mwandishi,jina lake & tarehe ..5: anwani ya mwandikiwa....vilivosaulika jaziliza.
 
Hapa suala ni Kiswahili au kidogo uandishi wa barua unapiga chenga?
 
Back
Top Bottom