Recent content by omaryntandu

  1. omaryntandu

    Kama mahakama ya mafisadi imekosa kesi, inamaana Lowassa sio fisadi

    Fisadi sawa na jambaz tu mi sion sa7bu ya kuanzisha maakama ya mafisad, na kama kesi za mafisad hakuna ina maana wa2 wanakula mshahara wa bure fisad huukumiwa pale anapopatkana na hatia shuka halikumbukwi asubh……
  2. omaryntandu

    Alikiba: Tunafuatilia kujua vigezo gani vilitumika kupata mshindi wa Mtv EMA

    Tatzo style yake ya kubana pua huo mzik ulishapitwa na wakat ndo maana anasugua bench kwenye tuzo……
  3. omaryntandu

    Chidi benzi karudia matumizi ya madawa ya kulevya

    Hii kitu ukishaonja inakuwa cronic kwenye damu ndo maana ray c alirudia tena kubwia unga sycologically m2 taari keshaathirika NO WAY OUT dearth it become leter!
  4. omaryntandu

    Iringa: Mahakama yamkuta askari aliyemuua Mwangosi na hatia ya kuua bila kukusudia

    Yaleyale ya ulaya askar wa kizungu kumpga bastola black america ndo haya sasa!
  5. omaryntandu

    Wanawake: Vaeni nguo zenye kuficha maungo yenu

    Hili vaz lnausishwa na ugaid xio zur kabxa licha ya ugaid vaz hili lina2mika kwa matukio mbalimbali kama vile ujambaz,wiz,uvunjaji wa ndoa za wa2 n.k
  6. omaryntandu

    Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

    Hata simba ingecheza yangetokea kama haya bt asilimia kubwa ya watanzania wamejiajiri wenyewe ni mda m2 kufka uwanjan haijalish mfanyakaz au xio mfanyakaz you see!
  7. omaryntandu

    Basi gani zuri la Mwanza - Mbeya?

    Newforce ndo bus zur kulko yote utafka huku unatabaxam!
  8. omaryntandu

    Pikipiki aina ya Boxer kupigwa marufuku

    Labda itafte njia nyingne ya kuzuia ualifu xio kufungia boxer coz italeta shda kwa wafanyabiashara na wa2miaji!
  9. omaryntandu

    Natafuta Smartphone, nina TZS 200,000/=

    Ongeza alfu 50 nkupe sumsun S3
  10. omaryntandu

    Zawadi nono itatolewa

    dr slaa uyo dogo!
  11. omaryntandu

    Ni hoteli gani inafaa kwa mapumziko Morogoro mjini?

    Moro kuna hotel nying ila kwa ww hotel ya califonia inakufaa!
Back
Top Bottom