Pikipiki aina ya Boxer kupigwa marufuku

Pikipiki aina ya Boxer kupigwa marufuku

Naona hata mtoa mada bd anauliza ungetafuta taarifa za kutosha hk uliposikia.
 
boxer unaweza kusimama hata kama iko kwenye gia no 4,haina muungurumo mkubwa kama sanlg,na wala hai vibrate kama mchna,kama ni mzoefu aw boxer unaweza kubeba watu wa tatu na wewe ukawa w nne na mwendo kibati.bomba la moshi haliunguzi kama mchina.inakwenda umbali wa km 59 mpaka 60 kwa lita moja ya mafuta wakati mchina ni km 32.KUNA MTEJA ALISEMA NIIPELEKE KKOO NA KWA KUWAULINZI KULE NI TAITI HUWA WANAONGEZA DAU KWANI HUWA HAINA PLATE NO NA BIMA,NASHUKA NA SERVICE ROAD MAPAKA MATAA YA CHANG'OMBE ALAFU NAKULA KUSHOTO HATA KAMA MATAA YATAKUWA VIPI DAKIKA TU NIKO SEHEMU YA KUSAFIRISHIA MIZIGO,WAKATI NARUDI KWA MIGUU NDO NAKUTANA NA TIGO WANAKUJA.PIA NILITOKA NAYO TAZARA KWENDA GOMS ILE TAA KUWAKA TUNIFIKA UWANJA WA NDEGE NDO SANLG INANIFUATA KWA KELELE NYINGI TENA NILIKUWA NASIT AKWA KUWA MAGARI YALIKUWA YANATOKA UWANJANI.SEMA JESHI LAPOLISI LINA HITAJI KUWAPA MAFUNZO YA KUTOSHA NA WATUMIE NAO BOXER.
 
Boxer na baja ipi inaspeed kali.bado haijaniingia akilini boxer niyakawaida sana na wala haiwezi kushindan na baja cc250
 


HAKUNA MATATA...
Call me for dealer or retail....

kwa dealer ni 1,910,000/-TZS
Kwa rejareja ni 2,100,000/-TZS

zote unapata ikiwa na usajili tayari yani registration card plus plate #.

ni pm takupa mawasiliano yangu,kwa muhitaji tu,karibu.
 
Boxer na baja ipi inaspeed kali.bado haijaniingia akilini boxer niyakawaida sana na wala haiwezi kushindan na baja cc250

Labda sababu iwe ni kutokumaliza mafuta kwa haraka so hata mwiz akiichukua hapa INA Lita mbili sio chini ya kilomita 70
 
Selikali ikifungia boxer watawauniza watu wengi sana
 
Labda itafte njia nyingne ya kuzuia ualifu xio kufungia boxer coz italeta shda kwa wafanyabiashara na wa2miaji!
 
Mbinu za kutaka kuongeza mauzo ya pikipiki zao. Kama ulipanga mwakani kununua we subiri tu utaziona
 
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze

Leo mchana wamechukuwa yao pale vingunguti
 
Labda itafte njia nyingne ya kuzuia ualifu xio kufungia boxer coz italeta shda kwa wafanyabiashara na wa2miaji!

Kama walipandisha bei ya mafuta ya taa kisa eti yanatumika kuchakachua diesel sitashangaa kuona wanazizuia boxer.
 
Sidhani kama itakuwa kweli kwa vile any bike can be used kwa matukio kama wizi.What is so special about boxer,afterall ni pikipiki ya Kihindi tu.There are better bikes in speed and everything.Lakini siwezi kubisha sana maana katika nchi ya kufikirika kama Tanzania,anything is possible.Yaani watu wamechoka kufikiri kabisa.
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze
 
Back
Top Bottom