james katto
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 385
- 128
Tumewasamehe,Biblia inasema samehe 7mara 70,hongera kwa kuomba msamaha!
Hivi nyie nyumbu nani kawaroga? Mbona Dr Slaa kaongea mengi ya maana yenye faida na tija kwenye nchi hamkuyaona? Mmekaa kuchukua vineno vidogo vidogo mradi muendelee kuhadaa watu
Hivi nyie nyumbu nani kawaroga? Mbona Dr Slaa kaongea mengi ya maana yenye faida na tija kwenye nchi hamkuyaona? Mmekaa kuchukua vineno vidogo vidogo mradi muendelee kuhadaa watu
Hivi nyie nyumbu nani kawaroga? Mbona Dr Slaa kaongea mengi ya maana yenye faida na tija kwenye nchi hamkuyaona? Mmekaa kuchukua vineno vidogo vidogo mradi muendelee kuhadaa watu
Tulieni dawa iwaingie..Katibu Mkuu ni mtu mkubwa sana anajua mengi
Subiri October na sisi turudishe matusi yote tuliyotukanwa.
Mimi nimeenda mwenyewe kwa gharama zangu jangwani, nimerudi kwa miguu nikiwa kwenye maandamano na vijana wenzangu naambiwa eti nilibebwa kwa lori!!!
Huku mwingine anatuita malofa na wapumbavu. ...
#Imetosha
#TukutaneOctober
Tatizo kwa nini leo? na kama hakuwa nayo kipindi hicho ni nani kampatiaHivi nyie nyumbu nani kawaroga? Mbona Dr Slaa kaongea mengi ya maana yenye faida na tija kwenye nchi hamkuyaona? Mmekaa kuchukua vineno vidogo vidogo mradi muendelee kuhadaa watu
Subiri October na sisi turudishe matusi yote tuliyotukanwa.
Mimi nimeenda mwenyewe kwa gharama zangu jangwani, nimerudi kwa miguu nikiwa kwenye maandamano na vijana wenzangu naambiwa eti nilibebwa kwa lori!!!
Huku mwingine anatuita malofa na wapumbavu. ...
#Imetosha
#TukutaneOctober
Wewe unasema hapo Morogoro tu? Kuna jamaa wawili nilikaa nao waliniambia wametoka Zambia kuja kushuhudia tukio lile la kihistoria.Kuna rafiki zangu walikuja kutoka Morogoro kwa usafiri binafsi walikuwa na hamu
ya kushuhudia uzinduzi, nashindwa kumuelewa Drslaa kwanini anatumia nguvu
kubwa kuitaka CCM irudi madarakani.