Recent content by oloripa

  1. O

    Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

    Bora ulivyogonga mkuu coz ungekataa angekuja kusema kwa bro ulimtongoza !!!
  2. O

    Je, ulishawahi kukutwa na janga hili katika mapenzi?

    Vai: Nimeolewa nina mtoto mmoja, mme wangu anapenda sana kushika shika makalio yaani akiona niko mtupu tu basi bora anishike hata makalio aridhike, sikuogopa nilijua mwili wangu ni haki yake nikawa namuwachia, tukilala tu, anaweka mkono kwenye makalio ndio usingizi unampata alizowea hivyo...
  3. O

    Ajira Utumishi - Recruitment portal

    Jamani ukitaka kufanya maombi zaidi kwa nafasi zaidi ya mojo inakuaje kwenye Atachiment ya barua za maombi inawekwa vipi pale unatupiaje yani???? Pls msaada jamani
  4. O

    Wamembaka mke wangu, nimeona niachane nae tu

    Kaka nimeuelewa sana uamuzi wako tena kwa ushauri angeenda kuugulia kwao kabisa mkuu
  5. O

    Msaada kuhusu JKT

    Watamrudisha tena haingii hata getini na mbona amewahisana kwani kapangiwa kikosi gani
  6. O

    Hivi wanandoa wenzangu na wake zenu pia wako kama huyu wangu?

    kaa naye chini mweleze akizingua piga chini kaka haina sababu ya kuendelea kuumia coz inaonyesha umemuoneshe kila aina ya busara ila anajifanya haoni piga chini mademu kibao kaka presha za nn
  7. O

    Wanawake wa Kimarangu ni hatari

    mtuahie tuoane bana kama mnaogopa:laser:
  8. O

    Nimemuuzia maziwa ya ng'ombe yeye akanipa maziwa yake bure

    Asee nimeisoma nikajikuta natamani ingekua mimi hapo ningesha tupia mpira kwenye nyavu kama messi vile
  9. O

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Baba vuta kitu kipya cha kibongo utulie nacho maisha menyewe mafupi stress za nn kaka
  10. O

    Vitu mwanaume anavyotakiwa kuwa ameshavifanya akifikia miaka 30

    Mada nzuri mkuu inatusisimua wengi hususan 29yrs .nadhani inatakiwa angalao awe anaweza kujitegemea na kuweza kua na mtizamo chanya ktk maisha ni kipindi ambacho starehe za kihuni zote zinatakiwa kusahaulika nakua mpambanaji wa maisha
  11. O

    Makampuni mengi ya watu binafsi hayathamini waliosoma Masters Tanzania

    Tatizo lipo kwenye sera za nchi kwenye kuajiri watu kutoka nje mkuu
  12. O

    Nafasi za kazi NMB, walishaita watu kwenye usaili?

    Use to whom it my concearn
  13. O

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Sikushauri kwenda jkt kama unaelimu yako mkuu komaa kitaa ipo siku utadaka mishe
Back
Top Bottom