Ndio maana toka mwanzo nimekuambia fundisha neno ila usihukumu........kuwasaidia kwa kuwafundisha ni vizuri kuliko kuwahukumu....ukimuhukumu mtu imekusaidia nini????.....
Na kama ingekua nauonea aibu ukristo wangu sidhani kama ningesema hapa........ukitaka kuendelea kubishana sawa.mimi nimemaliza
Una uhakika gani kuwa Mungu unaemuamin wewe ndio mungu wa mwigulu na tbjoshua?????.
Pili hujui kuwa kuna madhehebu na kila mtu anaenda anakotaka kuna ubaya gani yeye kwenda SCOAN???.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.