Tanzia: Sheikh Ali Comorian afariki dunia

Tanzia: Sheikh Ali Comorian afariki dunia

Kwa kuandika hivo usidhani kuwa wewe ndio mkristo pekee humu jf.....pia watu wanatakiwa kuelekezwa neno na si kutishwa...waeleze wataelewa

Kama unaonea aibu Ukristo wako ina maana unacheka nao ukitazamana nao usoni na kuwang'ong'a wakikupa kisogo.huo ni unafiki sio Ukristo.
unao wajibu wa kuhubiri habari njema kwa kila kiumbe.
Yesu Kristo akubariki...
 
Poleni wafiwa na Sheikh apumzike kwa amani!
 
Kwa kuandika hivo usidhani kuwa wewe ndio mkristo pekee humu jf.....pia watu wanatakiwa kuelekezwa neno na si kutishwa...waeleze wataelewa

Nawe usifikiri unafiki ni.sehemu ya Ukristo. kama kuna mkristo anapretend kwamba mambo ni saea tu ni mnafiki.
tunao wajibu wa kuhubiri habari njw ( INJILI) Kwa watu wote.
 
Kulo Nafsi dhaikat L mauti.... " Kila nafsi (kiumbe) kitaonja mauti "

Inna LiLLah wa inna ilayhi Rajioun

Poleni wafiwa, jirani, marafiki na jamii, Moula karimu amfungulie milango ya Jannat !!
 
Nawe usifikiri unafiki ni.sehemu ya Ukristo. kama kuna mkristo anapretend kwamba mambo ni saea tu ni mnafiki.
tunao wajibu wa kuhubiri habari njw ( INJILI) Kwa watu wote.

Ndio maana toka mwanzo nimekuambia fundisha neno ila usihukumu........kuwasaidia kwa kuwafundisha ni vizuri kuliko kuwahukumu....ukimuhukumu mtu imekusaidia nini????.....
Na kama ingekua nauonea aibu ukristo wangu sidhani kama ningesema hapa........ukitaka kuendelea kubishana sawa.mimi nimemaliza
 
Kama unaonea aibu Ukristo wako ina maana unacheka nao ukitazamana nao usoni na kuwang'ong'a wakikupa kisogo.huo ni unafiki sio Ukristo.
unao wajibu wa kuhubiri habari njema kwa kila kiumbe.
Yesu Kristo akubariki...

Nashukuru umejua kuwa wajibu wetu ni kuhubiri neno na si kuhukumu
 
Mkristo anaamini kristo atarudi tena kadhalika Muislam anaamini Issa bin Mariam atakuja kutoa hukumu ya mwisho sa huu usimba na Uynga ktk Imani unatoka wapii???
 
Mwenyezi mungu amsamehe, amrehemu na amueke pahala pema peponi, amiyn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom