Recent content by ole11

  1. O

    Alhaji Mussa Salum: Mwezi haujaonekana

    kuna mambo hata ukiangalia kiakili basi hayapo sawa ... hapo wewe ni akili yako kufuata au kutokufuata ,,, Mtume (SAW) aliliwata waislamu wafuate viongozi wao wa dini ... kama huwaamini fanya wewe unavoona ni sawa " FUNGENI KWA KUUONA MWEZI NA FUNGUENI KWA KUUONA MWEZI " ... chambua hayo maneno...
  2. O

    Alhaji Mussa Salum: Mwezi haujaonekana

    ni EID kwa baadhi ya hao wanaofuata watu ... ila kwa serekali ya Tz leo sio EID ... kazi kama kawaida wadau ....
  3. O

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    iyo haiwezekani na hawasubutu kabisaaaa kufungia magari ya mitumba isiingie hapa tz ........
  4. O

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    mimi wilaya ya Handeni -Tanga ,, ila sipaelewi kabisa !!!!!
  5. O

    WanaJF naombeni msaada wenu

    asante kaka .. ninatarajia kidili na mashirika ya bima kwenye masuala ya magari tu ...
  6. O

    WanaJF msaada: Insurance surveyor and loss assessor

    nilisahawa wakuu ... hio kazi ni masuala ya magari 2 ...
  7. O

    WanaJF msaada: Insurance surveyor and loss assessor

    Nilihitaji kujua kazi ya " Insurance surveyor and loss assessor " ipoje na inalipa kwa hapa kwetu Tz ?.Naombeni msaada wenu wanaJF kwa mwenye uelewa na mabo hayo.
  8. O

    WanaJF naombeni msaada wenu

    waelezo yako ni faida kwa wengine pia na Mungu anakuona naye ....
  9. O

    WanaJF naombeni msaada wenu

    nilihitaji kujuzwa kwa mwenye ujuzi .. hii kazi ya " Insurance surveyor and loss assessor " kwa hapa kwetu Tz inakuaje na inalipa kweli ?.
  10. O

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    wakuu naomba kuuliza ..!! tunaweza kuripoti kwa hiyo tarehe waliokuwa wameipanga au ndio ni kusubiria hizo post mpya za marekebisho ???
  11. O

    Insurance surveyors and loss assessors

    wakuu naombeni mnijuze hii kazi kwa hapa petu Tz inalipa ???
  12. O

    Insurance surveyors and loss assessors

    Wakuu, Naomba mnijuze kuhusu kazi hii na mpangilio wa malipo yake kwa hapa Tz kama inalipa.
  13. O

    Nafasi za kazi

    mkuu .. tatizo ni kuwa kazi nyingi wanahitaji wenye ujuzi wa kuanzia miaka na kuendelea ....
  14. O

    Ajira mpya za Walimu wa Sekondari zasitishwa kwa muda ili kurekebishwa

    hawajaweka tarehe .. sababu wameweka ktk post za jana ... kama huamini ingia tamisemi mkuuuu !!!
  15. O

    Ajira mpya za Walimu wa Sekondari zasitishwa kwa muda ili kurekebishwa

    wanakuwa wanapangwa kama kweli umeclear .... sababu wengi 2 wamepangwa ..
Back
Top Bottom