Recent content by Oldmoney

  1. O

    Mke wangu ananishangaza sana

    Ndoa bwanaaaa daah!!
  2. O

    Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

    Nadhani ishu ya kujua ni lini kauli imetolewa ni ya msingi pia, Kama alikuwa Clouda au lah, Ila msela Naona ustaaaaarabu na ustaaaa wake Kama hauko tena vile, na je Kafuta kweli kauli???
  3. O

    Lowasa taabani kwenye Media. TBC1 na Star TV wakataa kurusha habari yake

    kwani kuna mtu kaona hii taarifa kwenye TV?? Smartphone yangu ndo imenipa info. nilishaaaambiwa na wanyamaaa kama 6 hivi ndo nikawasha zangu dataa paaaaaaappp nakutana na hii show ya DOM daaah #TBC bhanaaaaa wafeeeee
  4. O

    Dj AD Mafuvu aacha kazi EATV / EA Radio

    kwani ishafahamika anaendaaa hukoo!!,??
  5. O

    Wanaume wengi hupenda kuoa wanawake wenye sura za kawaida sana/sio wazuri, sijui kwanini?

    kamaaa uko kwenye hii age yetu ukitaka kuoa sura lazima ikupe ruhusa ya kufanya hivyo, kama uko kwenye hiyo tamaa ya sura na sio 'wife material' basi kaakaa kwanza kaka!! mke ni zaidi ya sura na kila unachokiona kwa nje ya mwanamke!!!
  6. O

    Zitto Ashauri serikali ya Tanzania kusaidiana na Kenya dhidi Alshabab

    Wadau kwa waliwahi kuishi Iringa na wakawa na mzuka na Redio Iringa maaarufu kama Ebony FM sasaaa wanaweza kuipata pia wakiwa dar kwa 106.9/90 kuwa deeeep ni kujaribu kuona ni jinsi gani vyombo vya habari vinacover story moja, namnaaaa ambavyo story moja inakuwa covered
  7. O

    Vurugu Ilula: Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto

    daaaaahh noumaaaa sanaaaaa!!!
  8. O

    Zijue faida za Mmea wa Mlonge, Jitibu magonjwa 300 kwa kutumia mlonge

    daaaaaaah yaaaaaan nje ya jengo letu la ofisi kuna hiyo miti na mbegu zake zimeangukaaaa tuu chini, nilijarib one day zina kamaaa ukakasi flani kwa umbali ilaaaaaa baaada ya kusomaaaa hapaaaa naona hata ule ukakasi hautokuwepo tenaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
  9. O

    Tabia za wanaume wafupi

    waooo ndo wanapenda sanaaa kuandika sana notes za walimu shule, hata kama ni ile time ya kupumzikaaa!!
  10. O

    Masters degrees za Mzumbe University zinaua ubora wa elimu

    Elimu mfumo!!! Ukiwa na adv. diploma au post graduate vina kuruhusu kufanya masters degree Mzumbeni, na ni mfumo ambao uwaga upo duniani kote, u-shallo wa ulokutana nao ni kitu kinginw na jinsi ambavyo alikaa na kujifunza, ungeulizaa kwanzaaa!! #teamMU2013
  11. O

    Mdahalo wa Katiba uliohairishwa, sasa kufanyika 25/11/2014 katika ukumbi wa Mlimani City, Dar

    huyu kijanaaaa daaaahh!! Anold Schwazniger naeee kumbe ni alikujaa madarakan baada ya yule alokuwepo kuwajibishwa na wananchi!! -ITV LIVE now!!!
  12. O

    Wanaume mna matatizo gani ?

    hahahahah!! ino avababa vagita ndauli??
Back
Top Bottom