Mke wangu ananishangaza sana

Mke wangu ananishangaza sana

Usichepuke. Mda mwingine anaweza kuwa amewasha data mda wote. Lakn kumbe hata hachat. Mfano mimi Huwa sizimi data mara kibao rafk yangu wa kike aninituumu simjibu meseji zake lakn huwa nipo bize sana mimi ni Mwalim wa sekondari nafundisha sayansi hivo mda mreeef sana nakuwa biz darsn, huku data Zikiw on na cm ikiwa ofsn. So ndg Usichepuke hiyo si solution . pengne yupo katulia zake unamhisi tuu
Mmh! Usikute mwenyewe anajua kuwa mkewe huwa hawashi data. Ila ushauri mzuri
 
Jaribu kumuuliza mke wako kuhusiana na suala hilo. Zungumza naye kwa upole. Ni hatua nzuri ya kuimarisha uhusiano wenu kama utatafuta muda mzuri ukamueleza unapendelea mfanyiane nini na umfahamishe ni vitu gani huwa hupendi akufanyie. Mkumbushe madhara ya wapenzi/wanandoa kuwa na mawasiliano mabovu/hafifu. Ni vizuri ajue mambo yanayoweza kuhatarisha ndoa yenu. Lakini pia na wewe ujitahidi kuwa romantic and exciting. Ubunifu ni muhimu hata kwenye written communication. All the best mkuu
siku hizi wanaume wapo busy sana hawana muda wa kupoteza kuongelea mustakabari wa mahusiano yao wenyewe wanaita "nonsense"
 
Nilipata uhamisho wa kikazi kama mwaka hivi hivyo nakaa wilaya tofauti na mke wangu ila naenda nyumbani mara mbili kwa mwezi tuna watoto wawili ila nachoshangazawa nae nikimtumua msg whatsp huchelewa kujibu while yuko hewani mfano jana nilimtumia msg whatsp saa mbili hakujibu mpaka leo na alikuwa online mpaka saa tano usiku sasa najiuliza huwa anachati na nani
Sasa nataka nimfanyie uspy wa kutisha ili nijue na mimi nianze kuchepuka au la na kuna mfanyakazi mwenzie huwa naona wanawasiliana sana kwa simu nikikagua cm yake na yeye huwa anamponda sana huyo jamaa mpaka nashindwa elewa sasa nikigundua mchezo nitachet mpaka atashangaaa

WEKA PICHA FASTA
TUKUSHAURI VEMA MKUU.
 
Mmh...kuna tatizo hapo. Ila kulipiza kwa kuchepuka sio solution.


Heart;
Acha kumdanganya mwenzio. Kama ni weye anakusema hapa, usimfanye buda. Dawa ya moto ni moto. Namshauri amfanyie umafya hatari. Asichepuke na mmoja bali 4 kwa siku awapangie masaa. Watoto 2 tu tiyari mama anaanza ku cheat. Halaf hajaeleza ka watoto kawapata kipindi gani, awaangalie sura zao na vijitabia elekezi, kama hazifanani naye aanzishe shule ya awali hapo nyumbani
 
Eti ukigundua nawe unacheat.

Bro!Before you embark on the journey of revenge,you better dig two graves.

Mwanaume anamkanya mwanamke wake kwa mamlaka na kujiamini co kunyatanyata na kuvizia.
 
Aisee nikajua imeanza kumumunya .. Basi sawa tu maamuzi ni yako
 
siku hizi wanaume wapo busy sana hawana muda wa kupoteza kuongelea mustakabari wa mahusiano yao wenyewe wanaita "nonsense"




Hornet, observation yako ina ukweli. Lakini naamini kabisa hilo ni kosa kubwa sana la kiufundi kwenye mahusiano. Mawasiliano kati ya wapenzi ndio engine ya mapenzi yenyewe. Mimi mwenyewe ni mwananume. Maoni na msimamo wangu mimi ni kwamba uimara wa mahusiano una mchango mkubwa kwenye personal/social and professional growth ya mtu. Na tafiti nyingi zimethibitisha kuwa uimara wa hayo mahusiano unategemea ubora wa mawasiliano ya wanandoa/wapenzi. Ni kweli kuwa tuna majukumu mengi na stress nyingi za maisha lakini nafikiri ili tufanikiwe kwenye shughuli zetu za kiuzalishaji lazima pia tuwekeze kwenye relationships zetu. Hili ni la msingi kwa wote....mwanamke na mwanaume. This is my humble opinion!
 
Nilipata uhamisho wa kikazi kama mwaka hivi hivyo nakaa wilaya tofauti na mke wangu ila naenda nyumbani mara mbili kwa mwezi tuna watoto wawili ila nachoshangazawa nae nikimtumua msg whatsp huchelewa kujibu while yuko hewani mfano jana nilimtumia msg whatsp saa mbili hakujibu mpaka leo na alikuwa online mpaka saa tano usiku sasa najiuliza huwa anachati na nani
Sasa nataka nimfanyie uspy wa kutisha ili nijue na mimi nianze kuchepuka au la na kuna mfanyakazi mwenzie huwa naona wanawasiliana sana kwa simu nikikagua cm yake na yeye huwa anamponda sana huyo jamaa mpaka nashindwa elewa sasa nikigundua mchezo nitachet mpaka atashangaaa

kwanza siku unayoenda kulala emu lizungumzeni hili kwa mapana na marefu mukiwa kitandani kwanini inakuwa hivyo pima sababu zake na zitathmini je inawezekana ni za ukweli? alafu solution siyo wewe uanze kuchepuka itakubidi ufanye maamuzi ya kiume.
 
We lete pesa vijana tuingie kazini tukufanyie ujasusi kwa huyo my wife wako.
 
Umeskia anasema mkewe huwa hajibu sms zake mpaka saa tano usiku lakini huwa online that means anakupuuzia na tayari hana interest na wewe tena,Yaani una mtext saa 6 mchana anakuchunia mpaka usiku halafu unasema yupo bize??
 
Ndo basi tena mkuu ushapigwa kiaina.........kama huamini tumia no.mpya kumtxt uone atakavyojibu haraka
 
Umemdekeza sana huyo ukimtext asipojibu unamrukia hewani una mpa makavu live atakuheshimu tu
 
...nikigundua mchezo nitachet mpaka atashangaaa
He! yani unasubiri hadi uchapiwe ndo uchepuke? Chepuka wewe acha utani na maisha.
Kwanza huo muda wa kumfuatiliafuatilia mkeo ni kwa sababu huna cha kufanya. Ungekuwa na kamchepuko wala usingepata hizo shida. Mkeo mwambie tu kiutani akichepuka atumie condom maana hakuna namna another
 
Kuweka data on sio maana yake ku chat muda wote. Wanawake wengi huwa wanajisahau kuzima data kutokana na kuwa na shughuli au mambo mengi. Mimi pia huwa sizime data lakini pia huwa sichat muda wote huo wakati data ipo on. message zinaingi nazisikia lkn muda wa kusoma sina labda hadi hapo nitakapoamua kuanza kuchat
 
Jee hio sms zako zinafika kwa wakati isijekuwa zinadhuiliwa hewani na Tigo. Halafu kwanini usimwabie mwenyewe hapa kuna wazinzi watakwambia kachepuke. Wanaume wa mikowani wanashindwa hata kuwauliza wake zao.
wa Mikowani kumbe ndivyo walivyo eeh?basi wa DAR wanaafadhali...
 
Nilipata uhamisho wa kikazi kama mwaka hivi hivyo nakaa wilaya tofauti na mke wangu ila naenda nyumbani mara mbili kwa mwezi tuna watoto wawili ila nachoshangazawa nae nikimtumua msg whatsp huchelewa kujibu while yuko hewani mfano jana nilimtumia msg whatsp saa mbili hakujibu mpaka leo na alikuwa online mpaka saa tano usiku sasa najiuliza huwa anachati na nani
Sasa nataka nimfanyie uspy wa kutisha ili nijue na mimi nianze kuchepuka au la na kuna mfanyakazi mwenzie huwa naona wanawasiliana sana kwa simu nikikagua cm yake na yeye huwa anamponda sana huyo jamaa mpaka nashindwa elewa sasa nikigundua mchezo nitachet mpaka atashangaaa
Mkuu kamba hujaanza kumchunguza sema na moyo kwanza je ukotayari na kukubaliana na utakacho kikuta au kukiona?
na unadhani kama kwamfano umejua ana cheat na wewe unataka kumlipizia sasa hapo kuna tofauti gani baina ya yeye na wewe? au ukishafanya hivyo wewe utakua unaanza yeye mwenzio ana PHD ya unzinzi kwahiyo wala hatojali,kwahiyo basi fikiria tena nahisi unasema kwa hasira lakini haupo tayari kuchukua maamuzi,muungwana hafanyi maamuzi anapokua na asira
wala halipizi kosa alilofanyiwa...jengine muombe mwenyezi mungu akulindie ndoa yako na penda sana kufanya ibada na mshirikishe mkeo pia...
 
Back
Top Bottom