Kapotolo, you are very wise. Your counsel and advise is remarkable. Now, it is pivotal that CHADEMA and especially members of parliament heed your valuable advise. This is my sincere prayer for them. Again, thank you for your thoughtfulness
Dear Manyerere the ruling party and almost all its adherents, generals and lieutenants have absolutely gone politically and morrally bankrupt. They are now operating and acting like a scared cat. They can't counteract argument so whenever they are asked even a simple question, they go nutts...
Inasikitisha sana kuona serikali inayotokana na Chama kilichomwondoa mkoloni ili mwananchi awe huru na kufurahia rasilimali zake, ndicho kimegeuka Kuwa mwuzaji wa watu na mali zao! Hii laana ndio inayoitafuna CCM na itaangamiza mwaka 2015. Nawapongeza akina mama wa Loliondo kwa ujasiri wao...
Lizzy, utamaduni, mila, desturi naustaarabu (kama unavyotaka kuwaza wewe) havipimwi kwa mtazamo wa mtu mmoja amakabila ama taifa moja tu. Kwa mfano, mimi sikubaliani na dhana kwamba ili mtuawe amestaarabika ni lazima afanye mambo kama mzungu. Ni vyema ujue kwambamataifa na makabila...
Lizzy, utamaduni, mila, desturi naustaarabu (kama unavyotaka kuwaza wewe) havipimwi kwa mtazamo wa mtu mmoja amakabila ama taifa moja tu. Kwa mfano, mimi sikubaliani na dhana kwamba ili mtuawe amestaarabika ni lazima afanye mambo kama mzungu. Ni vyema ujue kwambamataifa na makabila...
Masifa ana lake jambo! Haeleweki na pia haelewi maana ya "haki ya mwananchi ya kupata habari." Inaelekea kwake yanayotokea Zanzibar sio kitu na zaidi ya yote anataka vurugu hizo zifumbiwe macho! Nalazimika kufikiri hivyo kwa sababu picha zilizowekwa kwenye magazeti mengi (wala sio Tanzania Daima...
I agree with you Seniorita but she can make fun because I don't think she understands why she is there! For a person like that then words like critical and sensitive don't mean anything!
Suala la silaha si la msingi hapa unless kama Dr. Slaa anaimiliki kinyume na sheria. Nakubaliana na wanaJFM wote waliosema kama risasi haijafyatuliwa hakuna kosa na pia hatujasikia kwamba kulikuwa na mapambano kati ya Dr. Slaa na polisi kwa maana ya kukataa kuwekwa chini ya ulinzi. Tatizo hapa...
Hapa napenda tena kuongeza neno la ziada kwamba Serikali ya Tanzania na vyombo vyake vya kiutendaji imepoteza umakini wake na ndicho kinachosababisha mabilioni hayo yote (nisiyotaka kutamka) yalipwe. Serikali ya Danganyika haina budi kulipa fedha hizo maana iliingia mkataba kijinga-jinga ama kwa...
[/COLOR]ONLY83, Suala la msingi hapa si weledi ni sheria na Mzee Warioba Jaji aliyebobea na mtumishi wa Umma wa siku nyingi alisema ukweli mtupu. Mahakama imetoa hukumu inapaswa kutekelezwa. Wizi uliofanyika siyo la kisiasa ni suala la kisheria kwa hiyo wahusika walipaswa wawe wamepelekwa...
Dumelang, habari ya mwisho wa wiki. If Balali is still alive I am happy and every one elae should because the guy is innocent. There are those who are responsible for EPA and are walking freely while Balali is hiding and worst they are telling lies that he is dead. Unless he has been "cloned."...
Mtu yeyote ambaye ni "Mtumishi wa Mungu" kwa maana yake halisi hahitaji kulindwa na mabaunsa! Yesu ambaye ni Mungu kweli alipanda punda wala hakutafuta ufahari wowote. Sasa huyu mtu aitwaye georgedavie nakubaliana na wote waliosema ni "nabii wa uongo." Kipekee sina ushahidi juu ya mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.