Recent content by okavango

  1. O

    Maimamu na Masheikh wa DSM waijibu Taasisi ya Imamu Bukhar-Foundation

    Huyu ndio Shehe, hao wengine akina Khalifa wanaitwa sheheni.Yaani wachumia tumbo.mambo wanayofanyiwa mashehe wa uamsho hayaoni anaenda kuongelea mambo ya MU ambayo yalitiwa saini wakati wa utawala wa muisilam jina.mpyxxuuuuu.hao mashehena tupa kule kura kwa Lowassa tu aende akaharishe kabisaa...
  2. O

    Msaada wa ubora wa TV kati ya LG na Sumsung

    Ninakushauri ununue lg.watengeneza lg ndio hao waliokuwa wanawatengenezea Sony wamekorofishana miaka ya hivi karibuni na anguko la uchumi duniani ndio likapigilia msumari wa mwisho.ni hivi kama wewe uoke mikate umpelekee Bakhresa aweke logo yake akiuza we akupe stahiki yako lakini mkapishana...
  3. O

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Huo wimbo unaitwa Mganga No 2, umepigwa na Jamhuri Jazz Band toka Tanga.ni kiaa cha ukweli kilichomtokea muimbaji wa Jamhuri baada ya kupanda stejini na sauti kukauka hivyo basi akashindwa kuimba.Ukiskiliza huo wimbo utaskia mganga anamtibu huyo mgonjwa.
  4. O

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Kura yangu na wake zangu wawili tunampigia Lowassa mgombea ambae hajaona uzito kuongelea mashehe wa uamsho, hata kama hatatekeleza ahadi zake potelea mbali lakini kaonyesha kuthubutu na huyo shehe wa kuchumia tumbo apeleke tumbo lake lumumba mimi ni muislam na haniwakilishi na kura yangu ni...
  5. O

    Chungulia: Kwa wale wapenzi wa Novels from the best writers duniani

    Jeffrey Archer:KANE AND ABEL, FIRST AMONG EQUAL.my fvrts.
  6. O

    Hatma ya kura za walimu kwa mgombea urais wa tarehe 25 Oktoba, 2015

    Huyo rafiki yako nami ni rafiki yangu pia, msalimie saana.mwambie nampenda.
  7. O

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Hii ya Lowassa na ile ya Lukuvi zote matamko yalitolewa wazungumzaji wakiwa makanisani, tofauti yake ni nini? Mwenye kumbukumbu naomba anifahamishe maana ile ya Lukuvi nayo ilileta mtafaruku kwa ndugu zetu wa upande wa pili. Nb:naomba kusahihishwa kama nimekosea.
  8. O

    CCM yaonja moto wa mabadiliko uwanja wa Taifa jioni hii

    Nitumie mimi ccm na uwanjani nilikuepo.0787614616
  9. O

    Kamwacha mke na watoto wawili (me & ke) kaparamia mke wa mtu!

    Tatizo ni vijana wa dotcom, ukweli ni kwamba wengi wa vijana wa zamani wanajiheshimu saana na kumuogopa mungu na wengi hawapendi zinaa kutokana na malezi ya makuzi yao.lakini kinyume na hivyo ndoa nyingi za vijana wa sasa zisingekua salama.vijana wa zamani bado wananguvu za kuweza kumtosheleza...
  10. O

    Kamwacha mke na watoto wawili (me & ke) kaparamia mke wa mtu!

    Mzee wa miaka 62 kavunja ndoa ya mtu!huyo alievunjiwa ndoa yake ana umri gani? Na huyo mke aliemfuata huyo mzee nae umri wake ni upi? Au ndio haya mambo ya waume wa cku hizi ambayo akina dada wanalalamika kila cku! Vijana mabarobaro mbona mnatia aibu hivi! Mzee wa miaka 62 akuvunjie ndoa yako...
  11. O

    Mtoto wa Lowassa mbaroni kwa kumgonga trafiki

    Jf raha saana stress zote kwishney na kichwa kilikua kinauma, kimepona kabisaaaaa.
  12. O

    Nape na Lusinde Wailipua Mwanza bila ya Tinga Tinga

    love is a beautiful boo I'm not opposed to moment not win the lotto with a bullet unicorn. I meant about you're not be setting up the job I will bring anything
  13. O

    Jihadharini na kalamu feki wakati wa Uchaguzi mkuu (angalia hiyo Video hapo)

    Kama tatizo ni hizo karatasi utajuaje? Karatasi zinakuja zimeshatiwa tiki kwa mgombea wanaemtaka lakini wakati unatia tiki yako hautaiona hio tiki yao, tiki yao itajionyesha wakati tiki yako inafutika,.mimi ninadhani hizo karatasi ndio zenye usanii kuliko hizo kalamu.ukienda na kalamu yako...
  14. O

    Wapenzi wa Zilipendwa huu wibo unaitwaje

    Huo wimbo unaitwa Theresa ni utunzi wake Jerry Nashon"dudumizi"akiimba yeye na Suleiman Mbwembe.bendi ni Vijana Jazz Orchestra
  15. O

    Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

    Wanaume wenyewe wanaolewa cku hizi.usishangae ukikuta mwanamke kaachwa na mwanaume kisa eti huyo mwanaume kapata bwana.
Back
Top Bottom