Kuvuliwa kwa Lema kuna maana hizi;
Kwanza, CCM wanataka kupima kama mbinu za kifedha, uwizi wa kura, vitisho vya magari ya FFU na Polisi zaweza kufanaya for 5 years more.
Pili, CHADEMA wanapewa nafasi ya kupima nguvu ya CCM na uwezekano wa kushinda 2015 majimbo zaidi
Tatu, Umaarufu wa...