Baadhi ya Wazanzibari wapinga Tanzania kudai eneo zaidi la mpaka wa bahari kuu

Sasa wanapinga nini wakati nyaraka zimewasilishwa UN? Halafu NIJUAVYO MIMI, kwa mujibu wa International Law, Bahari Kuu (High Seas) ni eneo lisilomilikiwa na nchi yoyote, ndio maana Tanzania inaliomba, sasa hapa Zanzibar imepokonywaje madaraka ya eneo isilomiliki?

Hapo kwenye capital latters ndio penye tatizo!
 
duhu, kazi kweli kweli, wewe unamawazo ya maji maji? Tope tope?

MALARIA DUGU IMEPANDA KICHWANI EEHH;WEWE UNAFAFIKIRI HAO WALA UROJO WANAWEZA KUWA NA MAWAZO YA KIMAPINDUZI AU WANAFIKIRIA VIKOI NA DAKU??

NINGEKUWA RAISI HUU MUUNGANO NINGALIUVUNJILIA MBALI SIKU NYINGI HOA WAZANZIBARI WANACHEZA BAO KUTWA KUCHA SISI HUKU TUNAPIGIKA HALAFU MWISHO WA SIKU TRA WANAWAPA GAWIO LINALOTOKANA NA KODI ZETU


WEWE Na HAO WALA UROJO MASABURI NYIE
 
Who cares cause they are most of then jobless wacha wapate kibarua cha siku
 
heee minajua umepokea kwa ally saleh kumbe wewe ndio mwanzilishi job true true..
 
Si shangai lakini kuna haja ya kuangalia uhusiano huu kama ni wa kweli na uhakika la sivyo walalamishi wataangamiza amani yetu
 
why always Zenj? Watu 2m wanasumbua 40m? Rais kakaa kimya tu! Baraza la mawaziri kimya! Wabunge wa CCM kimya! Wanaharakati kimya! Wanasheria kimya! HIVI Watanganyika tumerogwa?


Hapo kwenye red rekebisha. wale jamaa ni sawa na idadi ya wananchi wa mbagala tu. wapo about 1m tu. ilifaa iwe wilaya tu.
 
hata sielewi sasa.. Matokeo ya Maisha Magumu kwa Umma wa watanzania utazaa Mengi.. Nadhani Rais wa Awamu hii atajuuuta kwelikweli kukalia likiti libovu.. Mara Leo Tunaskia watu kwenye Nyumba ya Ibaada ya Mwenyezi Mungu wanakula halua na Kushangilia Hamad Kutimuliwa chamani, Mara wanafunzi wa shule badala ya kugomea ubovu wa elimu, vitabu au maabara wao wanagombezana na uongozi wa shule wakidai kujengewa msikiti??!!

ah.. Jamani aibu hii mnadhani tunaiweka wapi wengine sisi.. Leo tena kuna wananchi wenzetu wanalalamikia sijui kufutwa au kung'olewa kwa kisiwa chao.. aisee mambo ya ajabu mwaka huu.

Yale ya Msingi yanayohusu ustawi wa maisha, Uchumi na Ujenzi wa Siasa yenye mtazamo wa miaka hii yanawekwa kando na watu tunafukizia maskhara.. Inshalah!!

Mie mwenzenu Mambo haya ya Ubaguzi na Udini yananikera kwelikweli .. Hakuna Mzanzibari wala Mzanzibara, Mtanganyika wala Mdanganyika. Mpare au mgogo. Nafikiri sisi sote ni watanzania.. Dhana ya mawazo haya ya Kibaguzi inatokana na Ugumu wa maisha na jamii kukosa mwelekeo kutokana na walee tuliowaaminisha kutuongoza ambao wameshatugeuka..

Mbona miaka kede kede aliyotawala Mwalimu hakukuwa na harufu hii ya Ubaguzi, miaka ya mwinyi na Mkapa, mambo ya Ubaguzi na Udini hayakujitokeza asilani. Iweje awamu hii, awamu hii kuna nini. ?? why!!

....."Kiongozi yoyote anayeshinda kwenye Facebook akiangalia VIBINT na kutumia muda wake mwingi akichati na VIJIDADA kwenye cm, na Vikimkolezea huviundia safari za Nje ya Nchi na kwenda "Kuvitengeneza" HUKO.. saa ngapi atajali TAIFA..."Nshawakilisha hivyo..
 
hata sielewi sasa.. Matokeo ya Maisha Magumu kwa Umma wa watanzania utazaa Mengi.. Nadhani Rais wa Awamu hii atajuuuta kwelikweli kukalia likiti libovu.. Mara Leo Tunaskia watu kwenye Nyumba ya Ibaada ya Mwenyezi Mungu wanakula halua na Kushangilia Hamad Kutimuliwa chamani, Mara wanafunzi wa shule badala ya kugomea ubovu wa elimu, vitabu au maabara wao wanagombezana na uongozi wa shule wakidai kujengewa msikiti??!!

ah.. Jamani aibu hii mnadhani tunaiweka wapi wengine sisi.. Leo tena kuna wananchi wenzetu wanalalamikia sijui kufutwa au kung'olewa kwa kisiwa chao.. aisee mambo ya ajabu mwaka huu.

Yale ya Msingi yanayohusu ustawi wa maisha, Uchumi na Ujenzi wa Siasa yenye mtazamo wa miaka hii yanawekwa kando na watu tunafukizia maskhara.. Inshalah!!

Mie mwenzenu Mambo haya ya Ubaguzi na Udini yananikera kwelikweli .. Hakuna Mzanzibari wala Mzanzibara, Mtanganyika wala Mdanganyika. Mpare au mgogo. Nafikiri sisi sote ni watanzania.. Dhana ya mawazo haya ya Kibaguzi inatokana na Ugumu wa maisha na jamii kukosa mwelekeo kutokana na walee tuliowaaminisha kutuongoza ambao wameshatugeuka..

Mbona miaka kede kede aliyotawala Mwalimu hakukuwa na harufu hii ya Ubaguzi, miaka ya mwinyi na Mkapa, mambo ya Ubaguzi na Udini hayakujitokeza asilani. Iweje awamu hii, awamu hii kuna nini. ?? why!!

....."Kiongozi yoyote anayeshinda kwenye Facebook akiangalia VIBINT na kutumia muda wake mwingi akichati na VIJIDADA kwenye cm, na Vikimkolezea huviundia safari za Nje ya Nchi na kwenda "Kuvitengeneza" HUKO.. saa ngapi atajali TAIFA..."Nshawakilisha hivyo..

.

Ungee sana mengine lakini usi-under estimate umuhimu wa sehemu ya ibada (msikiti) kuliko na mkusanyiko wa watu.

Wewe kama priority yako ni mali na dunia (maji, umeme etc) watu wenye imani huanza na ibada mengine huja baadaye..

Hii ndio tofauti zetu za kibanadamu mus t live with it, usifikiri bila sehemu ya ibada ndio mafanikio ..
 
Halafu ZESCO ilipe deni la 6tl linazodaiwa na TANESCO. Hawa watu wa hii mikoa miwili wanatusumbua kwa kuwa tumewalea sana, wanaongea as if kuna kitu tunanufaika saaaaana kuwa nao. Na nyie wapemba mliojazana buguruni, kariakoo na ilala anzeni taratibu
 
Kwanini wasingeenda kuanzia saa10 alfajiri?siwapendi hao watu!natamani muungano ungevunjika hata leo!wanabebwa hata hawabebeki

Unafikiri nawe unapendwa. Kama huwapendi mbona unachukua ubeleko na kuwaweka tena huko kubaya nyuma! Pengine huo mbebo ndio unakufanya uone raha kubaki nao. Kama inakuuma basi vaa uende!
 
Back
Top Bottom