Hali ni mbaya Tarime: Polisi watembeza Mabomu usiku huu; Kina Lissu wakamatwa

serikali kupitia polisi wasije kosea kuzika hiyo miili kwa nguvu watajuta.
hiyo ni kinyume cha haki za binadamu na matakwa ya marehemu kila mtu ana haki ya kuzikwa kwa jinasi alivyo taka,
kwani tatizo ni nini? si walisema watafanya uchunguzi kisha watazikwa imekuwaje?
 
Inasemekana kuwa Polisi wamechukua maiti zote na kutoroka nazo..Wamewaachia baadhi ya waliokamatwa lakini Lissu na Mwita Mwikwabe hawajaachiwa.Inasemekana kabla hawajatimiza azma yao ya kuiba maiti walikata umeme tangu saa 1 jioni baada ya kumaliza kazi yao wamerudisha umeme.Hii ndio Tanzania,Serikali ya Awamu ya Nne.
 
MASWALI KULIKO MAJIBU
1 askari wameacha wajibu ni kuwa WAHUDUMU WA MOCHWARI NA WATOA HUDUMA ZA MAZISHI KAMA WALE WA MUHIMBILI?
2. Tanzania imekuwa Police State...let Tanzania ask those thought to be immune to people's power like Husni Mubarak, Zinedine(Tunisia) n let them watch trends of 21st Century.
3. no government is as good as legitimate first and then legal one, I wonder if this is the government of USHINDI WA KISHINDO.
4.For how long will people's discontents disregarded and taken for granted at the expense of PRIVATIZATION.

NOTHING IS AS POWERFUL AS TRUTH, NOTHING IS AS WEAK AND DESTRUCTIVE AS PROPAGANDA AND FALSE ACCUSATIONS JUST TO GAIN POWER.
 
mtoa thread should you go into details tafadhali, pamoja na mafyongo ya polisi wetu hawa lkn katika tukio hili there must be a reasonable cause, polisi wanawezaje tu kuanza kurusha mabomu ya machozi na kukamata watu? walikuwa wanavamia monchwari wakafanye nn? tafadhali
 
Wamechukua maiti kwa nguvu wameondoka nazo wakati wazazi wa marehemu nao wamekamatwa

Siku zote serikali ndiyo huwa inafanya vurugu na mauaji, waacheni wafanye wanachotaka kufanya lakini hawajui km wanashusha credibility ya ccm na serikali yake. Hakuna mtu atakayekuwa na imani nao wala kuwasikiliza tena.
 
Inasemekana kuwa Polisi wamechukua maiti zote na kutoroka nazo..Wamewaachia baadhi ya waliokamatwa lakini Lissu na Mwita Mwikwabe hawajaachiwa.Inasemekana kabla hawajatimiza azma yao ya kuiba maiti walikata umeme tangu saa 1 jioni baada ya kumaliza kazi yao wamerudisha umeme.Hii ndio Tanzania,Serikali ya Awamu ya Nne.
Sijui tunakwenda wapi!
 
jamani kwa kweli mi nafikiri naomba kuuliza hivi hawa wanaopiga watanzania wana maisha gani bora ya kuwafanya watii hadi amri za kuwaua ndugu zao mi na uhakika wao ndio walalahoi kuliko wengine lakini kwa nini hawafikiri mbele kidogo ya pua zao kwa sababu haki na maslahi yanayotafutwa ni kwa ajili ya nani?mimi kuna mjomba wangu wakati nikipenda sana mdogo kuwa kama wanaopiga aliniambia wanakatwa vichwa wanawekewa vya chuma naona kama kuna ukweli coz chuma haifikiri inatendewa chochote na yeyote anayeihitaji. tunawaombea sana tutafika tu
 
Baada ya maisha bora kwa kila mtanzania, hyo ndo kasi zaidi amri zaidi na NGUVU Zaidi
 
Wanawafanya hao marehemu Osama au? wanacheza na uvumilivu wa Watanzania, ehe Mwenyezi Mungu tupe rehema zako na utusamehe
 
mtoa thread should you go into details tafadhali, pamoja na mafyongo ya polisi wetu hawa lkn katika tukio hili there must be a reasonable cause, polisi wanawezaje tu kuanza kurusha mabomu ya machozi na kukamata watu? walikuwa wanavamia monchwari wakafanye nn? tafadhali

Your right ndugu!... Kama ni kweli wamepora/iba maiti lazima kuna something big veeeery big behind the scene!
 
Inasemekana kuwa Polisi wamechukua maiti zote na kutoroka nazo..Wamewaachia baadhi ya waliokamatwa lakini Lissu na Mwita Mwikwabe hawajaachiwa.Inasemekana kabla hawajatimiza azma yao ya kuiba maiti walikata umeme tangu saa 1 jioni baada ya kumaliza kazi yao wamerudisha umeme.Hii ndio Tanzania,Serikali ya Awamu ya Nne.

Hii kali sana kuto heshimu maiti za watu na inaweza kuleta machafuko zaidi.

Pole zote ziwaendee wafiwa kwa kuongezewa uchungu zaidi.
 
Regia Mtema please nini kinaendelea. Update us please
hii hapa!!!!!!!
Inasemekana kuwa Polisi wamechukua maiti zote na kutoroka nazo..Wamewaachia baadhi ya waliokamatwa lakini Lissu na Mwita Mwikwabe hawajaachiwa.Inasemekana kabla hawajatimiza azma yao ya kuiba maiti walikata umeme tangu saa 1 jioni baada ya kumaliza kazi yao wamerudisha umeme.Hii ndio Tanzania,Serikali ya Awamu ya Nne.
 
hatuna serikali nchi hii bali tunavibaraka wasio na akili timamu kama IGP.coward guy.sasa inatosha kwa manyanyaso na wakati wa kutafuta ukombozi ndio huu.IGP amri unazotoa. siku yaja zitakutokea puani cheo ni d.hamana ya mda tu..damu yangu na wote waliokufa sababu ya amri zako zitakuhukumu milele na malipo ni hapahapa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mambo ni tete sana na watu wanahasira sana vijana wako katika makundi makundi wakijadiri hatua za kuchukua kuwanusuru waliokamatwa kinyume cha sheria
 
haya yote yanayoendelea je kuna station yeyote imetoa japo breaking news?Mana huku kwetu tupo kwenye mgao hatucheki tv,au ndio wanazuia hadi habari?
Kwa nguvu ya Umma lazima tutafika tu.
 
Back
Top Bottom