Nauza kiwanja mali yangu hakuna udalali
Ukubwa wa eneo hilo: hatua 25 kwa 30
Mahali eneo hilo lilipo: Kivule
Sifa za eneo hilo: Hakijapimwa bado, ila maji yapo, Umeme upo jirani mno ya kiwanja. Panafaa kwa matumizi ya biashara au makazi.
Bei ya eneo hilo: 10Mln kwani ina nyumba tayari...
The fact remains the government should sit down and lay down strategies to cub down the commotion japo nawaunga mkono wanakusini kuwa umeme wa gesi kwanza ujitosheleze kusini kabla ya kuelekea kwingineko.
Kwa walio karibu naye naombeni mumtizame sana kwa mda wa wiki mbili tu. Mungu atakuwa tayari amejitetea na kudhihirisha kuwa ni Mungu aliye hai. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Neno lako.
kaka Curriculum specialist nimekubali hakika wewe ni mtafiti hodari we need guys like you who acts on matters mara moja. mimi nilisikia kama usemavyo ya kuwa hawa mabwana walienda Bahi huko Makuru na walipigwa sana na wananchi, nilijiuliza maswali mengi sana iweje wanakijiji wavamie msafara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.