Natafuta kiwanja cha kununua

Natafuta kiwanja cha kununua

Bunju karibu na watumish house 3.5M hakijapimwa kina utambulisho wa.serikal za mtaa
 
Usipopata huko unapopataka nitafute nikupeleke Kigamboni kuna jirani zangu wanauza tena kwa bei nzuri sana, viko sehemu nzuri sana
 
Habari zenu jf
Natafuta kiwanja cha kununua maeneo ya boko bunju madale mbweni na goba
Kiwe kimepimwa tayari.

Mimi nauza kiwanja changu kilichopimwa 960 sqm. Visiga - Kibaha.
Surveyed, tittle deed nakusaidia kuipata.

Bei 5,000 Tshs kwa sqm, maongezi yapo.

Kipo katika plan yenye viwanja zaidi ya 200 ambamo ndani yake kuna plan ya public services (kama vile shule n.k)

Umbali 1-1.5 km toka Morogoro road.

Ni kiwanja changu.
0763718328
 
Plot ina uzwa ipo Tabata Kinyerezi shule karibu na bank ya mkopo njia ya kwenda songasi,haufiki songasi,ukubwa ni ni miguu 25 kwa 25 bei ni tsh Milion 27 maongezi,pana foundation imara sana ina vyumba 4 vitatu ni master kimoja sio master,siting room dining room kitchen with store and public toilet,hakina hati ni skwata ila wanao mzunguka wengi wamepima wana title, kwa maelezo zaidi call me
 
Plot ina uzwa ipo Tabata Kinyerezi shule karibu na bank ya mkopo njia ya kwenda songasi,haufiki songasi,ukubwa ni ni miguu 25 kwa 25 bei ni tsh Milion 27 maongezi,pana foundation imara sana ina vyumba 4 vitatu ni master kimoja sio master,siting room dining room kitchen with store and public toilet,hakina hati ni skwata ila wanao mzunguka wengi wamepima wana title, kwa maelezo zaidi call me
0652472486
 
5a266c807dd475e9349afcfcbf5136d7.jpg

Nauza nyumba hii
 
Mwenye sqm 1000-2000 chenye hati anitafute kwa PM.
 
Alianzisha uzi huu naona alitoka nduki

Ova
 
  • Thanks
Reactions: bbc

Similar Discussions

Back
Top Bottom