riziwani yupi huyo...rihiwani kikwete au ridhiwani kikwete nyaronyo kichere...kama ni huyo wa kwanza basi atashinda kesi ila kama ni huyo wa pili anaemiliki malori kakwisha(kushneiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii)
swali lako alina uhalisia kwa maana ya mda wenyewe wa field,rekebisha afu upost tena.....ila kwa msaada wa haraka wanafunzi wa udsm always ni the best.
sio kamgeuka sita, thax god kagundua mapema unafiki wa sita manake duuu jamaaa ni international mnafik(mnafikist) wa hatari na sio shelukindo tu wanakuja wengi sana yetu yawe macho
watu mtapiga kelele sana na sana ila ukweli utabaki pale pale kua lowasa is the only presidential aspirant ndani ya ccm for 2015 kwa watu makini na wasomi u cant compare lowasa na sita,membe,nchimbi,maige,labda kidogo sumae kiutendaji anaweza kua na uwezo kama wa lowasa......uchaguzi uliopita wa...
(pmakonda) sina hakika kama we ndie makonda halisi na kama ni wewe wala sishangai kwa sababu tunajua uwezo wako wa kufikiri in the world of essence and in the world of appearence sijui kama umenielewa manake duuuu uwezo mdogo.....then ushauri wa bure ungetumia muda mwingi kumalizia sup zako chuo...
nchi kwa sasa inamaprezda wawili dk.bilal na luhanjo huyu jamaa ye ni mtalii wala tusishangae na hii kasema akosi awezi mtuma mjumbe kwa sababu anaenda pia kusherekea kujiuzulu kwa rafiki yake rostam unaambiwa moyoni kafurai sana sana manake mission imekamilika
swali zuri sema its too general,safari ya wapi manake it differs africa, ulaya,asia ,america etc......vile vile na ukubwa wa msafara pia.....ila kwa huyu jamaa anavyosafiri na kundi lake kokote pale ndungu zangu mi nimebahatika kujua maswala ya mambo ya nje huu utawala unatumaliza na inshort...
bashe is a young charisma politician within vijana walioko ccm,hivyo hata akigombea igunga atashinda tu huku akingojea kuchukua jimbo lake li nzega 2015........kwa wale wanaosema usomali,uuindi uarabu uelewa wao mdogo warudi shule na kusoma african philosophy.....who is african? je mwafrica...
hapo sasa ndo mtajua ukweli wa ccj kwa unafiki huuuu aliounyesha hapo ndo huo huo aliutumia kuazisha ccj,thax bashe tena kamanda bashe najua alisema mengi yatoe yote kwa kijana mnafiki kama huyu atufai kabisa 4 our generation........bora mchawi kuliko mnafiki mnafiki anakuuwa huku akijifanya ni...
nape ajui akifanyacho sijui ni uwezo mdogo wa kuchambua mambo,bado anaishi shimoni(allegory of the cave) na amjui jk vizuri kwani jamaa sio mtu akishakutumia anakudamp hana rafiki wa kweli anachoangalia ni interest zake,za mke wake na watoto wake.......kaka angu nape kua na macho zaidi ya mawili...
sio kilaza tuu ni mbumbumbu kwa akili yake anafikiri atapigiwa pande ili apewe udc,wakati ni failure kichwani...........................pili kaka shark futa kauli yako kua takukuru imebobea kwa rushwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.