nape kuna siku atavuliwa ngozi achuje damu na kujifiaJamaa yupo Dodoma kukanusha ishu nzima ya Rostam!! Ngoja tusubirie kwanza, inaoneka siasa uchwara ni za
Nape, Na yy Nape anamshutumu JK ndiye mwenye Siasa uchwara nae ajivue gamba, ngoja tuone hii movement.
Nape hamjui na hajamjua jk. kikwete ni m2 wa kutumia na kuacha hana tofauti na mtu anayetuane tumia condom akimaliza haja zake anaitupia mbali na kusahau fadhila zake.kamtumia lowassa,Rostam, sasa kawatuhumu kuwa ni magamba na hawafai ndani ya chama.Mwenzako akinyolewa zako tia maji but nampe yeye anachekelea badala ya kutia maji siku sio nyingi nae ataitwa gamba.
Jamaa yupo Dodoma kukanusha ishu nzima ya Rostam!! Ngoja tusubirie kwanza, inaoneka siasa uchwara ni za
Nape, Na yy Nape anamshutumu JK ndiye mwenye Siasa uchwara nae ajivue gamba, ngoja tuone hii movement.
nape kuna siku atavuliwa ngozi achuje damu na kujifia
Haiwezekani amseme JK bosi wake ana sias uchwara nadhani Nape anachanganyikiwa
Jk ukiwa nae ndio rafiki yako ila ukiondoka tu au akifanikiwa jambo lake anakutelekeza vibaya mno..nape amulize Membe alifanyiwa nn na jk..Nape hamjui na hajamjua jk. kikwete ni m2 wa kutumia na kuacha hana tofauti na mtu anayetuane tumia condom akimaliza haja zake anaitupia mbali na kusahau fadhila zake.kamtumia lowassa,Rostam, sasa kawatuhumu kuwa ni magamba na hawafai ndani ya chama.Mwenzako akinyolewa zako tia maji but nampe yeye anachekelea badala ya kutia maji siku sio nyingi nae ataitwa gamba.