Maranyingi watu hawa wanakuwa na kitu kikubwa/ destiny! Na jamii inashindwa kuwa elewa. lakini pia kwa kuchukiwa kwao kunawafnya wafocus kutimiza ndoto zao na kupunguza miruzi ambayo kwa kiasi kikubwa ndiyo sababu ya wengi kuanguka. Nimejifunza vitu vingi maishani lakini nachoamini kama unaweza...
Kama unamfahamu vizuri Gwajima huwezi uliza hicho unachofikari, pitia historia yake na passion yake na utajua mabadiliko ni kiu yake ya muda mrefu mnoo
Nimekuelewa sanaaa, future yako ni kubwa mnoo na vita yako imekuwa kubwa pia, hivyo moyo umefadhaika. Na utajua sio muda mrefu Kuwa Mungu yupo na anaishi. Hii haitakuja kama ushuhuda wa mtu, bali wewe mwenyewe utashuhudia. Maana utaona na kukiri kwa moyo wako.
Pole sana giza limeendelea sana...
Sidhani kama shida ni MO, Nadhani ni nmna usajili wa simba ulivyo na mgao wa madaraka kwa mujibu wa katiba na miongozo ya simba. Kuna ngazi nyingi za maamuzi yanayotoa mianya mingi kuidhibiti timu. Hata ungekuwa MO, kwa usajili wa Simba ulivyo autonomy ya timu ndogo kwa MO. Watu wanatumia...
Nadhani wewe hukijui kisasi Cha Mungu, haki ya mtu haipotei mtalipa tena kwa machozi. Hadi uje ujue kwanini unaumia kilio kitakuwa chako tutosha. Ombi tu Mungu aturehemu na iwe kifochake isiwe sababu za kibiashara.
Nimevutiwa jinsi citizens walivyoandika hii Habari, sijui Kama waandishi wa Habari wa Tanzania TFF na wizara Husika mmejiandaa kuibrandi TZ kupitia fursa hii. Vinginevyo ngoma itasikika zaidi kwa jirani yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.