Recent content by Observe

  1. O

    Maisha chini ya chama kimoja cha siasa yapoje?

    Yapo poa tu dogo jiandae tu ili ikifika 2025 hautauliza tena
  2. O

    Rais wangu Magufuli trilioni 6 hizi hapa

    Siyo kwamba naunga mkono ya Zanzibar, la hata kidogo ila sipendi kabisa nchi yangu na serikali yangu kuendelea kuishi kwa utegemezi. Halafu serikali ianzishe kodi itakayojulikana lwa jina "Real Independence" kodi hii ikusanywe toka kwenye magari yote nchi nzima, na itengenezewe risiti yake...
  3. O

    Uganda's Crude PipeLine alternatives Map tz

    Hivi ujumbe watz ulioenda Ugand kuonana na M7 umesharudi na jibu gani? ni Tz or Ken? naomba wakuu mwenye taarifa sahihi atajulishe. Much thank!!!
  4. O

    Wachina wataliangamiza Taifa hili

    Ubaya mwingine wa mchina ni kwamba, hawezi kukupa mkopo wa mradi wowote isipokuwa huo mradi ni lazima ujengwe na kampuni za kichina. Sasa hapo ndo mchina ananufaika maanake robo tatu ya hela yote ya mradi inarudi china na bado deni unatakiwa ulipe. Mchina ni very dangerous kwa Africa...
  5. O

    Pole mama Tanzania tangu ujinasue toka utumwani mpaka sasa umepitia wakati mgumu sana

    Jinsi ulivyomzuri MAMA angu TANZANIA!!! hakika Mungu alikuumba mrembo sana, Yaani TANZANIA wewe ni mrembo, umepambwa na mwili wako haujapungukiwa chochote isipokuwa sisi watoto wako ndiyo tumekuumiza sana kwa tamaa yetu, upungufu mkubwa wa upendo juu yako. Yaani sisi wanao tumekuumiza mno hatuna...
  6. O

    Bunge lapasuka

    Nadhani wakati umefika sasa Raisi Magufuli atakapokabidhiwa uenyekiti wa Chama afutilie mbali wafanyabiashara kuchukua nafasi za uongozi wa chama na kuwaengua kwenye mafasi za kugombea nafasi za udiwani na ubunge ili kutenga biashara na siasa. Mda wote wafanyabiashara wapatapo nafasi za uongozi...
  7. O

    Iundwe team kutoka kitengo itakayohakiki upya waajiriwa hewa

    Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa Raisi ambaye kwa nia njema na dhamira safi amejipambamua kuwa ni mtumishi wa watanzania wote bila ujanja na ulaghai kama wenzake waliomtangulia. Kashifa za wafakazi hewa zimesikika kwa miaka mingi sana lakini mamlaka zilipoita hazikuonyesha kuguswa na...
  8. O

    TUCTA na Vyama vya Wafanyakazi, huu ndo muda wa kutetea wafanyakazi. Acheni kuwa mabubu, hali mbaya

    Mleta maada ni mmoja wa hao wanaolipwa 36-40m mothly, au ni mtoto wa hao vogogo kwahiyo hela ya kutanua na mavx; prado, jugguer, benz itakatika; tusimshangae jamani anajaribu kuwahamasisha wanaolipwa 3laki waandamane eti baba yake asipunguziwe hilo fuba analokamua kutoka kwa mamantilie na...
  9. O

    Tupitie upya mikataba ya madini na gesi

    Na kwanyongeza tu ni kwamba kama raisi amefikia mpaka hatua ya kupungiza mishahara ya maafisa wa mashirika ya umma ili mishahara iendane na hali halisi ya uchumi wa nchi, kwamba kidogo kinachopatikana kisiishie kulipa mishahara minono ya wachache, hivyo basi kwa nia hiyohiyo sheria ya manunuzi...
  10. O

    Tupitie upya mikataba ya madini na gesi

    Tena Raisi afanye haraka sana ili tujue nini kinaendelea kwenye makampuni yanayochimba dhahabu na Almasi mfano GGM, ACACIA, MWADUI, TANZANITE ONE, CATA MINE, na mengine mengi. Pia sheria ya gase na madini ipitiwe upya kabisa. Pia yale maazimio ya bunge ya mwaka jana juu ya IPTL pia yale matrioni...
  11. O

    Wakati Marekani kupitia MCC, China wajipanga kuwekeza kwenye Sekta ya Nishati nchini

    Raisi kashasema hataki tena vijikampuni vya kufua umeme bali Tanesco yenyewe inunue mitambo ya kuzalisha huo umeme pungufu maana tayari gase ipo. Angalau Ulitakiwa utuambie kuwa wachina wamekubali kukopesha Tanzania walau dollar billion tano ili ikamilishe kabisa zoezi la kusambaza mioundo...
  12. O

    Turuhusu Uganda Railways kufanyakazi reli ya kati sambamba na TRL

    Mleta habari hebu jikumbushe maneno haya"When God give you beaut without brain, private parts suffer the most" Robert Mugabe
  13. O

    Vita ya Uganda Crude Oil Pipeline (Tanzania vs Kenya)

    Yap!! Mungu na ampe hekima Raisi wetu na Tz yetu ipate kibali ili huu mladi ufanyike kwetu na hapo ndo utakujiaipenda Tz ya Magufuli, ukijumlisha na gase yetu ambayo imegunduliwa hivi karibuni; hii ndo Tz ya kisasa. May the LORD be gracious to us
  14. O

    Mikataba ya umeme yala matrilioni ya fedha

    kwanini uwe wakudumu? au na yeye mramba ana 10%? kwani sheria zinasemaje kuhusu huu mkataba? nawapa mbinu majasusi wa tz wafanye kila liwezekanalo ili hawa IPTL na Songas ionekane wamevunja masharti ya mikataba yao na kwahiyo kwa mjibu wa sheria na makubaliano ni lazima mikataba hiyo ivunjwe tu...
Back
Top Bottom