Wachina wataliangamiza Taifa hili

Malata Junior

JF-Expert Member
Nov 29, 2011
3,104
2,550
Serikali ya CCM imekuwa ikijivunia sana misaada kutoka serikali ya China na makampuni ya kichina mpaka kufikia kubeza na kudharau misaada kutoka Marekani na nchi za Ulaya hasa baada ya kunyimwa pesa za MCC.

Lakini kwa muda mrefu tumeona makampuni ya kichina na raia wa China wakifanya vitendo vinavyokiuka sheria za Tanzania na kuisababishia hasara kubwa huku mamlaka husika zikisita kuwachukulua hatua. Baadhi vitendo hivyo ni;
1.Ujenzi wa miradi chini ya kiwango hasa barabara
2.Uingizaji wa bidhaa feki zisizo na ubora.
3.Ujangili,biashara ya pembe na meno ya tembo pamoja na utoroshaji wa wanyama hai.
4..Biashara ya nyama ya punda ambao ni wanyama kazi kunakosababisha hatari ya wanyama hao kutoweka.
5.Uendeshaji wa viwanda vidogo visivyozingatia usalama,mazingira na haki za wafanyakazi.
6..Uchimbaji madini usiozingatia ulinzi wa mazingira kama tulivyoona huko Chunya.
7.Usafirishaji wa noti na sarafu za Tanzania kwenda china bila idhini ya benki kuu ya Tanzania.
8.Kufanya biashara ya umachinga na kazi nyingine zinazoweza kufanya na watanzania kinyume na kibali cha kuishi nchini.
9.Unyanyasaji wa raia wa Tanzania ikiwemo kutembeza kichapo.
10. Biashara ya uchangudoa ya wanawake wa kichina kwenye macasino.

Sasa hivi wachina wanachochea ugomvi kati ya watanzania na mataifa mengine wafadhili ili wabaki wenyewe na hapo ndipo wataamua kufanya lolote wanalotaka kwa sababu hatutakuwa na rafiki mwingine wa kumkimbilia.

Natoa rai kwa serikali ya CCM na mashabiki wao wafuata mkumbo waache kubeza misaada kutoka nchi nyingine kwa kuwategemea wachina hao kwa vitendo vyao wataiangamiza nchi hii.
 
Serikali ya CCM imekuwa ikijivunia sana misaada kutoka serikali ya China na makampuni ya kichina mpaka kufikia kubeza na kudharau misaada kutoka Marekani na nchi za Ulaya hasa baada ya kunyimwa pesa za MCC.

Lakini kwa muda mrefu tumeona makampuni ya kichina na raia wa China wakifanya vitendo vinavyokiuka sheria za Tanzania na kuisababishia hasara kubwa huku mamlaka husika zikisita kuwachukulua hatua. Baadhi vitendo hivyo ni;
1.Ujenzi wa miradi chini ya kiwango hasa barabara
2.Uingizaji wa bidhaa feki zisizo na ubora.
3.Ujangili,biashara ya pembe na meno ya tembo pamoja na utoroshaji wa wanyama hai.
4..Biashara ya nyama ya punda ambao ni wanyama kazi kunakosababisha hatari ya wanyama hao kutoweka.
5.Uendeshaji wa viwanda vidogo visivyozingatia usalama,mazingira na haki za wafanyakazi.
6..Uchimbaji madini usiozingatia ulinzi wa mazingira kama tulivyoona huko Chunya.
7.Usafirishaji wa noti na sarafu za Tanzania kwenda china bila idhini ya benki kuu ya Tanzania.
8.Kufanya biashara ya umachinga na kazi nyingine zinazoweza kufanya na watanzania kinyume na kibali cha kuishi nchini.
9.Unyanyasaji wa raia wa Tanzania ikiwemo kutembeza kichapo.
10. Biashara ya uchangudoa ya wanawake wa kichina kwenye macasino.

Sasa hivi wachina wanachochea ugomvi kati ya watanzania na mataifa mengine wafadhili ili wabaki wenyewe na hapo ndipo wataamua kufanya lolote wanalotaka kwa sababu hatutakuwa na rafiki mwingine wa kumkimbilia.

Natoa rai kwa serikali ya CCM na mashabiki wao wafuata mkumbo waache kubeza misaada kutoka nchi nyingine kwa kuwategemea wachina hao kwa vitendo vyao wataiangamiza nchi hii.
unaona eeh! kumbe mnajua misaada ya wamarekani kufutwa sio tishio.. sasa mbona mnajidai bila hii misaada toka uncle tom tumekwisha huku mnachekelea. wachina hawana masharti ya kudhalilisha mtu ndio maana misaada yao ni ya dhati na inapelekea nchi kujitegemea sio kututia kitanzini.
 
Wachina wazushi Sana ktk kila jambo!Mimi binafsi nikiona wachina wanapigwa/kutapeliwa huwa siwaonei huruma kabisa.....
Wezi wa rasilimali zetu tu
 
Serikali iache umalaya wa kisiasa urafiki ma wachina tutaujutia zaidi ya ukoloni wa wazungu
 
Hawa jamaa ni washenzi kweli,kwanza wametumalizia tembo wetu,pili kuna hili jipya la kusafirisha pesa zaidi ya sh.20.0000 za Mia tano tano !ndio maana chenji zimepotea mtaani Na kama wameanza kitambo itaathiri uchumi wetu kwa hiyo hawa sio watu wazuri kabisa.
 
Serikali ya CCM imekuwa ikijivunia sana misaada kutoka serikali ya China na makampuni ya kichina mpaka kufikia kubeza na kudharau misaada kutoka Marekani na nchi za Ulaya hasa baada ya kunyimwa pesa za MCC.

Lakini kwa muda mrefu tumeona makampuni ya kichina na raia wa China wakifanya vitendo vinavyokiuka sheria za Tanzania na kuisababishia hasara kubwa huku mamlaka husika zikisita kuwachukulua hatua. Baadhi vitendo hivyo ni;
1.Ujenzi wa miradi chini ya kiwango hasa barabara
2.Uingizaji wa bidhaa feki zisizo na ubora.
3.Ujangili,biashara ya pembe na meno ya tembo pamoja na utoroshaji wa wanyama hai.
4..Biashara ya nyama ya punda ambao ni wanyama kazi kunakosababisha hatari ya wanyama hao kutoweka.
5.Uendeshaji wa viwanda vidogo visivyozingatia usalama,mazingira na haki za wafanyakazi.
6..Uchimbaji madini usiozingatia ulinzi wa mazingira kama tulivyoona huko Chunya.
7.Usafirishaji wa noti na sarafu za Tanzania kwenda china bila idhini ya benki kuu ya Tanzania.
8.Kufanya biashara ya umachinga na kazi nyingine zinazoweza kufanya na watanzania kinyume na kibali cha kuishi nchini.
9.Unyanyasaji wa raia wa Tanzania ikiwemo kutembeza kichapo.
10. Biashara ya uchangudoa ya wanawake wa kichina kwenye macasino.

Sasa hivi wachina wanachochea ugomvi kati ya watanzania na mataifa mengine wafadhili ili wabaki wenyewe na hapo ndipo wataamua kufanya lolote wanalotaka kwa sababu hatutakuwa na rafiki mwingine wa kumkimbilia.

Natoa rai kwa serikali ya CCM na mashabiki wao wafuata mkumbo waache kubeza misaada kutoka nchi nyingine kwa kuwategemea wachina hao kwa vitendo vyao wataiangamiza nchi hii.
Urafiki wa kweli wa China na Tanzania ulikuwa wakati wa Nyerere na Mao, Tanzania ilipo ipigania kwa nguvu China kurudishwa UN na ika sababisha Tanzania kusitishiwa misaada muhimu na nchi za magharibi na hapo China ikaziba pengo na kuleta kila bidhaa iliyo hitajika tena zenye ubora hasa, wanao kumbuka baskeli za Phoenix,sabuni na dawa za meno za maxam,viatu mpaka peni na penseli za great wall, na pia ujenzi wa viwanda kama Urafiki,Ufi n.k, na mpaka ujenzi wa reli ya Tazara hawa,Wachina wa sasa sio kabisa hawa ni majanga Rais wao alipo kuja tunaambiwa ndege iliondoka na shehena sasa si watafutaji tu hawa.
 
Ukiwa na watoto wanaolalamika kwako kila siku kuwa wameonewa, wananyanyaswa na watoto wengine, jua kuwa una tatizo la msingi na hasara pia!
Tena matukio hayo yanaripotiwa wakati ambao watoto wageni wapo nyumbani kwako!
Hata hivyo, unaweza kufanya mambo mawili ya msingi;

1. Kuwafundisha watoto kwa siri mbinu za kuwashughulikia wageni, kama wanaweza kwa kiwango kinachoendana na hali halisi.
2. Kuchukua hatua wewe mwenyewe kuwahujumu wageni kwa siri ili watoto wako waweze kuwadhibiti!

Bila kufanya chochote, basi wewe ni mpumbavu zaidi kuliko hata watoto!
 
Cha kusikitisha kabisa,baada ya kutuletea mayai feki ya kiwandani sasa wana samaki SATO wa kutengeneza viwandani wanatuuzia mitaani bei rahisi kuliko wa ziwa victoria
 
image.jpeg
Serikali ya CCM imekuwa ikijivunia sana misaada kutoka serikali ya China na makampuni ya kichina mpaka kufikia kubeza na kudharau misaada kutoka Marekani na nchi za Ulaya hasa baada ya kunyimwa pesa za MCC.

Lakini kwa muda mrefu tumeona makampuni ya kichina na raia wa China wakifanya vitendo vinavyokiuka sheria za Tanzania na kuisababishia hasara kubwa huku mamlaka husika zikisita kuwachukulua hatua. Baadhi vitendo hivyo ni;
1.Ujenzi wa miradi chini ya kiwango hasa barabara
2.Uingizaji wa bidhaa feki zisizo na ubora.
3.Ujangili,biashara ya pembe na meno ya tembo pamoja na utoroshaji wa wanyama hai.
4..Biashara ya nyama ya punda ambao ni wanyama kazi kunakosababisha hatari ya wanyama hao kutoweka.
5.Uendeshaji wa viwanda vidogo visivyozingatia usalama,mazingira na haki za wafanyakazi.
6..Uchimbaji madini usiozingatia ulinzi wa mazingira kama tulivyoona huko Chunya.
7.Usafirishaji wa noti na sarafu za Tanzania kwenda china bila idhini ya benki kuu ya Tanzania.
8.Kufanya biashara ya umachinga na kazi nyingine zinazoweza kufanya na watanzania kinyume na kibali cha kuishi nchini.
9.Unyanyasaji wa raia wa Tanzania ikiwemo kutembeza kichapo.
10. Biashara ya uchangudoa ya wanawake wa kichina kwenye macasino.

Sasa hivi wachina wanachochea ugomvi kati ya watanzania na mataifa mengine wafadhili ili wabaki wenyewe na hapo ndipo wataamua kufanya lolote wanalotaka kwa sababu hatutakuwa na rafiki mwingine wa kumkimbilia.

Natoa rai kwa serikali ya CCM na mashabiki wao wafuata mkumbo waache kubeza misaada kutoka nchi nyingine kwa kuwategemea wachina hao kwa vitendo vyao wataiangamiza nchi hii.
Umesahau hii ya air port? Mchina kajenga mgahawa kwenye eneo la no parking.
 
Serikali ya CCM imekuwa ikijivunia sana misaada kutoka serikali ya China na makampuni ya kichina mpaka kufikia kubeza na kudharau misaada kutoka Marekani na nchi za Ulaya hasa baada ya kunyimwa pesa za MCC.

Lakini kwa muda mrefu tumeona makampuni ya kichina na raia wa China wakifanya vitendo vinavyokiuka sheria za Tanzania na kuisababishia hasara kubwa huku mamlaka husika zikisita kuwachukulua hatua. Baadhi vitendo hivyo ni;
1.Ujenzi wa miradi chini ya kiwango hasa barabara
2.Uingizaji wa bidhaa feki zisizo na ubora.
3.Ujangili,biashara ya pembe na meno ya tembo pamoja na utoroshaji wa wanyama hai.
4..Biashara ya nyama ya punda ambao ni wanyama kazi kunakosababisha hatari ya wanyama hao kutoweka.
5.Uendeshaji wa viwanda vidogo visivyozingatia usalama,mazingira na haki za wafanyakazi.
6..Uchimbaji madini usiozingatia ulinzi wa mazingira kama tulivyoona huko Chunya.
7.Usafirishaji wa noti na sarafu za Tanzania kwenda china bila idhini ya benki kuu ya Tanzania.
8.Kufanya biashara ya umachinga na kazi nyingine zinazoweza kufanya na watanzania kinyume na kibali cha kuishi nchini.
9.Unyanyasaji wa raia wa Tanzania ikiwemo kutembeza kichapo.
10. Biashara ya uchangudoa ya wanawake wa kichina kwenye macasino.

Sasa hivi wachina wanachochea ugomvi kati ya watanzania na mataifa mengine wafadhili ili wabaki wenyewe na hapo ndipo wataamua kufanya lolote wanalotaka kwa sababu hatutakuwa na rafiki mwingine wa kumkimbilia.

Natoa rai kwa serikali ya CCM na mashabiki wao wafuata mkumbo waache kubeza misaada kutoka nchi nyingine kwa kuwategemea wachina hao kwa vitendo vyao wataiangamiza nchi hii.

Hizo ni changamoto ambazo zinazungumzika na zinatibika kwa urahisi kabisaa na kubaki na utu na uhuru wetu...Ni kuwawekeza sheria za udhibiti na kufuatilia utekelezaji wa mikataba yenye tija tutakayoingia nao.

Bahati mbaya utawala uliopita haukuwa na ufuatiliaji na uzingativu wa maslahi ya taifa, kiasi cha kuingia mikataba ya ovyo isiyo na maslahi ya taifa;
Lakini Enzi hizo zimeshapita na sasa hapa ni kazi tu, na tunahimizwa kujibidisha ili tujenge nchi yetu kwa nguvu zetu wenyewe badala ya kutegemea kupitisha bakuli la omba omba huko nje wakati tumekalia raslimali za asili lukuki!
 
Ubaya mwingine wa mchina ni kwamba, hawezi kukupa mkopo wa mradi wowote isipokuwa huo mradi ni lazima ujengwe na kampuni za kichina. Sasa hapo ndo mchina ananufaika maanake robo tatu ya hela yote ya mradi inarudi china na bado deni unatakiwa ulipe. Mchina ni very dangerous kwa Africa, tutashuhuia hadi ugali, mchicha, makande, sambusa, vitumbua, chai, na chapati vitatoka china, hawa watu siyo kabisa yaani kama viongozi wetu watabweteka na wachina basi yawezekana kabisa hata maji ya kuoga yataletwa toka china. Yaani mchina yuko tayari kukuuzia hadi mbegu za kiume ili mradi apate hela basi.

Jambo la maana sisi watanzania sasa umefika wakati wa kuanza kuondokana na dhana misaada ili kuendesha taifa letu, tukatae si mchina wala mzungu hawa wote ni wanyonyaji tu na hawana la maana wakaloifanyia nchi yetuispokuwa ni kutuibia kupitia vimikataba uchwara vinavyoshabikiwa na mafisadi wachache baada ya kupata 5% ya mkataba. Tulipifikia hapa ni kutokana na viongozi walikuwa wanaihujumu nchi yetu bila huruma ili mradi wananufaika binafisi.

Watz.kwa pamoja tuungane na Raisi wetu kukataa vimisaada bali ni wakati sasa wa kufanya mabafiliko makubwa ya kisera juu ya rasilimali zetu na uchumi, hii lazima iende sambamba na mabilikoya sheria juu ya ufisadi-ni lazima fisadi ufilisiwe kwanza halafu jela miaka ya kutosha tu, hata kunyongwa hadi kufa. Yaani ufisadi iwe ni maada kesi isiyo na zamana bali kufilisiwa na kwnda jela.
 
Halafu ni wabishi hawa viumbe wa Mungu sijui ni kwa sababu ya ufupi
 
Wamuulize Mugabe wachina wamemsaidia nini mpaka Leo Zimbabwe IPO kuzimu!!!

Aliwadharau wazungu kwa kujiegemeza kwa mchina sasa hivi kawageuka tena hao wachina!!!
 
Ni kweli hasa hiyo # 1 ukifika UDOM utashanga majengo yalivyochoka nyufa kibao
 
napinga misaada nawapinga wachina hawafai kabsa, kama tunakataa misaada tukate kutoka kwa watu wote, NAM. its very important broo magu.
 
Back
Top Bottom