Recent content by Nzinza edward

  1. N

    Kauli za viongozi mbalimbali kuhusu mwanafunzi atakayepata mimba

    Tamko LA mkuu ndo sheria hapo haliko kwenye maandishi hii ni Kwa mjibu Wa sheria zetu kwani rais hakosei labda tungekuwa nchi iliyoendelea njua tungekuwa na umakini Wa madaraka ya rais has a ukizingatia hats ufunguo Wa silaha za nukria anakabidhiwa yy na hawezi kutoa maamuzi ya matumizi ya...
  2. N

    Wananchi Mara waandamana kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Magufuli

    Hiyo Mkurugenzi Wa Iringa aliyeandika hiyo barua VP kuwataatifu wakurugenzi wote nchini yafanyike maandamano kumpongeza rais Kwa utendaji wake nzuri na uliotukuka,lakini ndo hivyo tumeamua wakurugenzi nao wawe wanasiasa sijui sasa hivi kimebaki cheo gani ambacho ni serikali kamili ambacho...
  3. N

    Simba kufuru:Ngoma abugizwa 180m,kusaini mda wowote

    Ngoma bado kijana ana miaka 35 tu!
  4. N

    Simba kufuru:Ngoma abugizwa 180m,kusaini mda wowote

    Mo anapoteza hela yake bure jibu lilishayolewa cku nyingi hizo ni timu za wananchi wakitaka wakaanzishe timu zao kama alivyofanya azam!fef kutoka Kwa karibu BMT!
  5. N

    Wananchi Mara waandamana kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Magufuli

    Kwani hata kagame alianza VP,nashukuru Kwa kuwashtukia wapambe Wa mpango huo,tusubili mda utaongea wameanza kama wananchi na baadae watakuja wabunge,refer hotuba ya Mwalimu kuchezea katiba,lakini Kwa Mimi Kwa magufuli sijui kama atakubaliana na hill Kwa cku zote analalamika Kwa watanzania kumpa...
  6. N

    Tecno kama mmechoka kutengeneza simu imara mkalime matikiti

    Kama ni mbovu unamlalamikia Mani humu au umetumwa !kula MTU ananunua kitu aidha Kwa kuona Fulani ana cm nzuri kama unaona haifai cm zipo aina nyingi kachague uyotaka ukitaka za kuungua zenyewe is OK!
  7. N

    Tecno kama mmechoka kutengeneza simu imara mkalime matikiti

    Mbona mnahisi ni tatizo LA cm Kwa nn usihisi ni matatizo ya mitambo kama ni voda,airtel au tigo!mm Nina cm yangu ya techno p5 natesa nayo huu mwaka Wa 5.5!
  8. N

    Badala ya kumwelimisha mtoto aseme 'HAPANA', unamfundisha akatoe mimba

    Hapo Mimi namsubili waziri Wa afya ummy Mwalimu atupe tafsiri ya kauli hiyo maana ss wasukuma Wa tanga huwa tunashindwa kutafsiri kauli ya mkuu!
  9. N

    Meya wa Kinondoni Boniface Jacob ameachiwa kwa dhamana muda huu baadaye kushikiliwa kwa amri ya Dc

    Hiyo inatokea Tanzania tu MTU anafuatilia utendaji Wa kazi anawekwa ndani!Bahima empire coming soon!
  10. N

    Mwanamke kujisaidia wakati wa kujamiana

    Ushuzi Mara nyingi ndo hupatikana pindi anavyouachia mwili wake na viungo vyake ili afaidi penzi unalompatia,wamakonde wanakuambia kunoga somo!
  11. N

    Sumaye ashangaa agizo la kukamatwa kwake

    Askari wanamajukumu mengi na uelewa Wa mipaka ya kazi kwani amri inayotolewa Kwa watu walikuwa kazini unaleta usumbufu ambapo haya wangewakamata bado wangetoka na kuweza kufanya kazi isiyo na maana na wanajua amri za kukomoana haina tija,lakini angependa angeenda mwenyewe kama alivyokuwa...
  12. N

    Mwigulu Nchemba: Wezi wamejificha nyuma ya viongozi wastaafu sasa ni maumivu tu

    Nashangaa watu wanaongelea sana kuhusu wizi Wa rasimali za taifa,hivi rais wetu kafungua njia lakini kuna watanzania wengine hawaitakii nchi neema! Hivi nawaomba sana kama vita tumeidhamilia tuchukue hatua kwani hao wapo lakini tukiendelea na kufumbia macho waharifu haya ni bora tukawaacha...
  13. N

    CHADEMA wakumbwa na kashfa ya kula Rambirambi msiba wa Mzee Ndesamburo

    Michango hiyo ingepitia Kwa gambo ingekuwa million 800!
  14. N

    BARRICK kujenga kiwanda cha kuchengua mchanga mkoani Iringa

    Kuna MTU anaipigia debe Iringa nn! Mkoa hakuna mgodi Wa dhahabu au Yale malori yatakuwa yanatoka Kahama hadi Iringa!haya miaka ya nyuma Alma's inachimbwa shinyanga unaenda kukatwa iringa(tancut)kulikoni?
  15. N

    Sheria mpya ya madini iwe 51% serikali na 49% mwekezaji.. Full stop

    Kwenye malengo yao yalishatimia hayo mengine mtajuana mwenyewe kama 25-75,100_0 iendelee au 50_50 !
Back
Top Bottom