Mwigulu Nchemba: Wezi wamejificha nyuma ya viongozi wastaafu sasa ni maumivu tu

Mwigulu Nchemba ni fisi anayewinda urais
bb4761fe6bad40b02483924d9237456c.jpg
Hauwezi kabisa,RC kachukua cheo chake
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba, amesema kama watu waliojihusisha na mchanga wa dhahabu maarufu kama makinikia walitafuta kichaka cha kujificha nyuma ya marais wastaafu, wajihesabie maumivu.

Akiwa jimboni kwake Iramba magharibi kwa ajili ya kusambaza umeme kwenye vijiji mbalimbali amesema kwamba hamna mtu atakayepona katika ishu hii ya makinikia.

Wapo wanaokebehi na kuwataja viongozi hawa wastaafu kwa sababu zao na wengine kwa sababu wanaona wanahusika katika ishu hii na kwamba viongozi hawa hawapaswi kuonewa kwa makosa ya waliokuwa maAgent wa madini. Alisema Waziri Mwigulu Nchemba

Katika kazi ngumu duniani ni kusema uongo na kudanganya wenye akili
 
Muheshimiwa huyu sio wa kumtilia maanani sana,alishawahi kujitapa kua anao ushahidi wa ugaidi wa cdm na kwamba yuko tayari kuutoa popotee.ajabu hadi kesi inaisha ya rwakatale hatukumsikia akiende mahakamani kuutoa huo ushahidi.

Yeye na kubenea ni dugu moja.
 
Nashangaa watu wanaongelea sana kuhusu wizi Wa rasimali za taifa,hivi rais wetu kafungua njia lakini kuna watanzania wengine hawaitakii nchi neema! Hivi nawaomba sana kama vita tumeidhamilia tuchukue hatua kwani hao wapo lakini tukiendelea na kufumbia macho waharifu haya ni bora tukawaacha wazungu wajibebee Mali jinsi wanavyotaka,hawa wako wafikishwe mahakamani haraka sana waliohusika militia taifa hasara kiasi hiki!mitego uko vizuri sana kwani wale samaki aina ya papa inanasika tumeshindwa Kwa mda mrefu kuwanasa na hapa wakiponyoka basis hakuna njia ingine ni kukubali matokeo tukubali mwenyewe kuwa mwenyewe meno ndo alae kongoro!
 
Na wanaohutubiwa nao sijui wametoka sayari ya wapi!.Wameshindwa nini kuwakamata kina Chenge maana leo ni siku ya saba toka Rais aseme watashughulikiwa.Matokeo yake njemba bado zinakula raha tu kama ziko peponi.
 
Wakifukua makaburi hakuna atakayesalimika..
makaburi yamechungukiwa na kufukiwa tena. Sijui wa kupona labda kwa ubabe. Tatizo ni nguvu iliyomo kwenye taasisi ya urais. Bila kuwepo kwa checks and balance kwa hii mihimili mitatu, tunatwanga maji kwenye kinu. Nitamwona rais wetu kuwa jasiri kwakuliangalia hili kwa ajili ya vizazi vijavyo. Kweli ameylthubuti, lakini isiwe know wa sababu ni yeye, bali alazimike kikatiba
 
Vita vya kweli ni vitendo siyo maneno. Hatutashinda vita hii kwa maneno. Kitendo cha Rais kuunda tume kifuatiwe na utekelezaji wa mapendekezo. Kuzuia mchanga kulifanyika kabla ya tume, nini kilichofanyika baada ya ripoti za tume?
 
Kama Kweli Anko Magu amekusudia kubadilisha mifumo isiyofaa iliyopelekea mambo mengi mabaya ikiwemo mikataba ya kinyonyaji nasi nam shauri aanze na swala la kuandikwa Kwa katiba mpya na kiwafanyia kazi mapendekezo ya kamati za makinikia vinginevyo Watu wataendelea kubeza tu na kuona Labda ni kutafuta kick tu Kwa wananchi! Mathalani Tanesco Kwa kila mwezi nasikia wanalipa mabilioni ya hela kwaajili ya mikataba ya kinyonyaji, over 55 years of independence it is only 15 - 20 % if not 25% ya watanzania wanaopata huduma ya Umeme , about 60-80 % iko gizani hawajui hata Umeme unafafanaje Maji ndo usiseme huko nazani ni less than 10% if not 5% ndo wananchi wanapata huduma ya Maji safi na salama na miundo mbinu ya Maji taka! Unaweza kuona jinsi kazi ilivyokubwa, huduma za afya zahanati ni Sawa na hakuna, ujana wa madaktari na vifaa Tiba , vituo vya polisi kuwa mbali almost vipo ktk Wilaya ,
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba, amesema kama watu waliojihusisha na mchanga wa dhahabu maarufu kama makinikia walitafuta kichaka cha kujificha nyuma ya marais wastaafu, wajihesabie maumivu.

Akiwa jimboni kwake Iramba magharibi kwa ajili ya kusambaza umeme kwenye vijiji mbalimbali amesema kwamba hamna mtu atakayepona katika ishu hii ya makinikia.

Wapo wanaokebehi na kuwataja viongozi hawa wastaafu kwa sababu zao na wengine kwa sababu wanaona wanahusika katika ishu hii na kwamba viongozi hawa hawapaswi kuonewa kwa makosa ya waliokuwa maAgent wa madini. Alisema Waziri Mwigulu Nchemba

Anamdanganya nani?
 
Hivi Mwiguru anafahamu kuwa hali ilivyo kutokana na kukosekana Kwa vituo vya polisi karibu na makazi ya Watu , Watu wengi wamekufa na Majambazi just coz vituo vya polisi viko mbali sana? Mikoani Mtu akifanya uhalifu, eti mwananchi aliyefanyiwa uhalifu anaambiwa yeye mwenyewe atafute wagambo, awalipe ili wamkamate mtuhumiwa hala kisha huyo alofanyi uhalifu alipe tena hela ya nauli ya kusafirisha hao wagambo pamoja na mtuhumiwa hadi wilayani ambako kuna kituo cha polisi hiki nichokwambia Kama unanisoma ndicho kinachofanyika, Hali hii imekuwa ikiwashinda wananchi kutokana na kuwa hata uhakika wa kupata mlo wa Siku haupo (umaskini) ardhi walokuwa wanalima tangu operation vijiji vya ujamaa imechoka kabisa, mvua siyo za kuaminika kutokana na mabadiliko ya tabia nchi!
 
Watu hospital wanakufa Kwa kukosekana Kwa vifaa Tiba , daktari anashindwa kujua mgonjwa anatatizo gani na Kwa kiwango gani, vipimo ndo kila kitu sasa vifaa vya kupimia hakuna daktari afanyeje ?
 
Kila Baada ya Nyumba 10 kulipaswa kuwa na kituo cha polisi na zahanati Walau Kwa kuanzia basi iwe Kwa kila mtaa
 
Back
Top Bottom