Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Bila kusahau MV BwagamoyoUfisadi wa ndege,na nyumba za serekali
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Bila kusahau MV BwagamoyoUfisadi wa ndege,na nyumba za serekali
Asante sana mkuuMkuu Francis12, fanya marekebisho kwenye taarifa/habari yako. Mdogo wangu Salum Ally Hapi hausiki na suala hilo. Yeye ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Huyo Meya alikamatwa kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Ndugu Kisare Makori. Na si Wilaya ya Kinondoni. Ni hayo tu Mkuu.
Fanya kazi kwanza, balimi baada ya kaziSiasa Za Chuki Haziwez Kuisha Tz
Waiter Zungusha Tena
Nilisahau hizi: Duh hasa kwenye Nyumba za Serikali...lakini hii mzee naona atairuka kwanza maana inaweza ikamrudia yeye..tuendelee na haya mengine kwanza maana yapo mengi..Ufisadi wa ndege,na nyumba za serekali
Awamu hii zimezidi sana tena kwa kipindi kifupi mno, ni kama mkakati mahususi umesukwa na MaDC, MaRC na wateule wengine wamepewa amri ya kuhakikisha upinzani haufurukuti, 2020 ni mbali kweli kweliSiasa Za Chuki Haziwez Kuisha Tz
Waiter Zungusha Tena
Ila Mh Makori ni mtu wa makamo na amekuwa serikalini muda mrefu tu. So kuna tatizo jingine na labda wametakiwa kutenda hivyo, either uamue kuachia madaraka au utii maagizo hata kama ni ya kitoto na kijuha.Mara nyingi sana vijana wadogo wasiokuwa na busara na hekima wakipewa madaraka hulewa m
apema sana kama huyu Dc na wengine
Da Cocochanel katika ubora wake, huoni kama kuna tatizo na wateule wa mkulu.Duh
Inaelekea anatenda makosa mengi sana huyo meya.
Hapa kazi tu
INAHUSIANAVP NA KUWEKWA NDANI KWA MEYA????Wabaki naye tu, sisi siasa tumeacha tunaendelea kulinda resilimali zetu. Mpaka December yeyote anayejijua ni fisadi atakuwa ndani...Deep Green, Escrow, IPTL, Stanbic pesa na magunia, EPA etc. Just wait and see the power of JPM..
Hahahahahaha, nyumba za serikaliNilisahau hizi: Duh hasa kwenye Nyumba za Serikali...lakini hii mzee naona atairuka kwanza maana inaweza ikamrudia yeye..tuendelee na haya mengine kwanza maana yapo mengi..
Ila yana mwisho haya pia.