mjukuum
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 5,257
- 2,826
Leo ndio tuulizane umri kweli dahNgoma ana umri gani?
Leo ndio tuulizane umri kweli dahNgoma ana umri gani?
We sio mwanasimbaHivi kweli tunaweza kuifufua simba kwa kununua wachezaji wazee waliochoka kutoka Yanga ?
Kwani piro ana umri ganNgoma ana umri gani?
Wachache wenye uelewa kama wako, lakn viongozi wa hizi timu zetu ndo wanatufikisha hapa tulipoSimba walipaswa kumsajili msuva tu kutoka Yanga. Hawa wazee wanakata pumzi sana. Simba inavijana wenye kucheza mpira haraka,tatizo lilikuwa kwa mtu wa kuona lango na Beki tu. Hii habari ya mibabu isee wategemee vilio maana wanakuja kustaafia simba.
Experience inatakiwa, kikosi cha msimu uliopita kimataifa hakiwezi! Lazima kuwe na wazoefu kama wanne, sijajua kama wanaoongelewa ni sahihi au la ila experience level ya kimataifa wanatakiwa!Sasa mkuu haya magarasa ukimuweka na John Boko kweli ndio ya kufufua Simba ?
Dani Alves ana umri gani?? Ronaldo ana umri gani?? Giggs alistaafu akiwa na umri gani?? Luca toni alistaafu akiwa na umri gani??Kwani piro ana umri gan
Rais wa Marekani unajua kwa jina na sura. Wa Maldives mbona humjui? Wote si maraisi wa nchi zao? Tujue jinsi ya kulinganisha.Dani Alves ana umri gani?? Ronaldo ana umri gani?? Giggs alistaafu akiwa na umri gani?? Luca toni alistaafu akiwa na umri gani??
Kwa soka la kibongo bongo ukitaka kuijenga simba au yanga ni lazima kwanza uanze kuivuruga saikolojia ya timu pinzani kwenye usajili. yanga wanafanya hayo na sasa ni zamu ya simba kuvuruga yanga. hakuna namna acha wavurugwe wasubiri zamu yaoBaada ya Ngoma mchukueni Chirwa, Bossou na Mkata umeme! Naona mmebadili sera yenu ya kusajili wavulana! Hamueleweki mnajenga, mnaimarisha au mnabomoa timu!
Ngoma na tambwe nani mzee?Ngoma ana umri gani?
Aichukue tu!Wivu wa nini wakati we ni mpenzi wa Toto AfricansMo anainunua simba kilainii hapo mnazidisha madeni tu hadi msimu ukiisha mtakuwa mshatumia 10b zinabaki 10b akimalizia anaichukua simba.
Roho inakuuma eh!Hivi kweli tunaweza kuifufua simba kwa kununua wachezaji wazee waliochoka kutoka Yanga ?
Hivi nyie wana Yanga nini kinawauma?Sasa mkuu haya magarasa ukimuweka na John Boko kweli ndio ya kufufua Simba ?