Ndg makamanda msijali sana mwenyeketi kashasema kuwa anasubiri Raisi aunde tume ya majaji wa kimahakama kufuatilia swala hili apo ndo atatoa izini ya kukabidhiwa kwa hiyo video.Wakigoma kifanya.ivyo video hiyo itapelekwa kwenye mahakama ya Umma ili umma ukatoe hukumu yenyewe...
Naona kifo cha...
Kwaiyo ulitaka cdm wakae bungeni wakati wakipulizwa kiyoyozi uku wananchi wasio na hatia wanauwawa kule Arusha? Ulitaka CDM wasifanye chochote tu watulie kimyaaaa?!!?wewe waluokutuma kawambie hata muendele kuuwa wananchi kulipua makanisa na kutisha wandishi wa habari ni lazima mtang'oka tu...
Ningeomba kujua baada ya police kupiga mabomu.Hali iliendelra kuwaje apo chuoni?Sababu gani.zilizotolewa za kukifunga chuo kwa muda?Police waliaidi nini labla kwa wanachuo kuusu muaji wa mwanagunzi mwenzao?Mpaka sasa kuna muhusika yoyote aliyekamatwa kuusiana na mauji.hayo?Hili la lema najua ni...
Ajira ni btn wewe na muajiri wako sasa unataka kusikiliza ya umu yakisaidie nini?wewe nenda kazini kama ulivyotakiwa na boss wako si iliomba mwenyewe kazi we vp!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.