Jamaa akasema sawa tu mungu yupo huyu kampa mimba mke wangu halafu mnataka kunifunga mi namwachia mungu tu. Polisi wakawa wanaangaliana wakatuambia nendeni kesho mje aaubuhi tuyaongee, kesho tukaenda jamaa kama na mkewe na mkewe akathibitisha kweli nimempa mimba 'Nilichoka"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.