Recent content by Nyotinzuri

  1. Nyotinzuri

    Kamati ya Kudumu ya Bunge yazipiga pini Halmashauri kujipangia Ada ya Shule za English Medium zinazomilikiwa na Serikali

    Hukupata tu shule nzuri ila hizi english medium ni msingi mzuri sana kwa mtoto na sekondari unaweza mpeleka kata na akatoboa kwani yale ya sekondari ndio ya shule msingi ni lugha tu imebadilika
  2. Nyotinzuri

    Naombeni kujua jamani

    Halafu silipendi hili neno jomoni 😃
  3. Nyotinzuri

    Nina mtaji wa 2M naomba wazo la biashara

    😃😀😄 kitaa noma unaanguka na kuinuka, unapata kazi unafukuzwa baada ya mwaka mmoja, unasema uanze biashara inakufa baada ya miaka miwili😀🙃 unaanza tena kutafuta kazi 😀
  4. Nyotinzuri

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kibaha toka asubuhi umeme hamna jaman tanesco shida n nn?
  5. Nyotinzuri

    Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

    Na ww n mkurupukaji kama makonda, hujaangalia clip yote mpk kumuita paparaz takataka Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
  6. Nyotinzuri

    Mkuu wa Mkoa aagiza kukamatwa kwa meneja wa NFRA kwa wizi wa tani 30 za mahindi ya Serikali

    Semi moja n tan 30 so hapo n semi moja, na km zlkua fuso za tan 10 hapo n fuso 3 tu wala ickutshe ndugu
  7. Nyotinzuri

    Mkuu wa Mkoa aagiza kukamatwa kwa meneja wa NFRA kwa wizi wa tani 30 za mahindi ya Serikali

    Mkuu wa mkoa kakurupuka nae hajui taratbu anakamata tu watu, mwsho wa cku wanashinda kesi. Angeuliza kwanza sio kujichukulia masifa kiivyo
  8. Nyotinzuri

    Nani anagharamia matumizi ya Lema, Msigwa na Mbowe huko Nairobi?

    Hv umefikiri mara mbili kabla hujaandka huu utumbo? Ulitaka lisu awe peke ake pale km yatima, aonekane hana ndugu, marafiki n.k. km ww huna moyo wa kuwafariji wenzio wanapokua na matatzo kaa kimya. Ujue wakiwa kule ht mgonjwa kdg anapata unafuu na mke wake pia zle stress znapungua Sent using...
  9. Nyotinzuri

    Landmark kufunga Hostel kurudisha Hotel August

    Wanafunzi waharbifu bhana hua hawana kawaida ya kujali kitu cha mtu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Nyotinzuri

    Huyu mwanaume ni zaidi ya kichomi, ungekuwa wewe ungefanyaje katika ndoa kama hii?

    Kwa sababu gan majiran msimsadie apate msaada kisheria au na nyie mnaona kawaida tu? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Nyotinzuri

    Shilawadu hapa mlipofikia ni too much

    Apambane na hali yake,aache kutaka mambo makubwa wakat hayawez, kwn angeish km sisi angekufa? Aljua kabsa hana pesa alienda hotel ya bei kubwa hvyo alitegemea nn? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Nyotinzuri

    Chakula Bora cha Mifugo yako Kinapatikana Hapa

    Unapatikana wap? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Nyotinzuri

    Kicheko Ni Afya, Njoo Uondoe Stress Hapa Muhimu Kwa Afya Yako

    [emoji3][emoji3][emoji3] hii kibokoo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Nyotinzuri

    Kwanini wanaume wengi hawawezi kuoa mwanamke mwenye watoto?

    Ht mm nna mtoto na nmeolewa, waache hao wenye dhana zao potofu na tena nnaish kwa aman na huyu baba anaish na mwanangu km mwanae wa kumzaa kila kitu anapata wala ht hambagui Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom