Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
wewe na mke wako mtaghalimiamikia!!!Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......