Recent content by nyopa84

  1. N

    SIMBACHAWENE: Sikufumaniwa

    Kama mzinzi watu wasiseme.?
  2. N

    Pigo jingine CUF: sekretarieti ya vijana Bara yajiuzulu.

    ndo majina yao mkuu mbona unayashangaa au yamekaa KIUAMSHO nn.?
  3. N

    Kikwete On TBC1: Aongea na wazee wa mkoa wa Dar

    Totally kabisa baba riz anaongea with a lot of stresses.... Teh teh teh teh... Peoples power ni noumer
  4. N

    Mlima Kilimanjaro washindwa kwenye fainali za New 7 Wonders of Nature

    We una simu au computer si ungepiga kura ili ushinde.?
  5. N

    Mlima Kilimanjaro washindwa kwenye fainali za New 7 Wonders of Nature

    Bora umeshindwa maana wangefaidi wachache tu.
  6. N

    Vurugu: Polisi na wanachuo wa Tumaini Makumira

    Ukiwa chuo cha kudai inakubidi udai usidhani utaletewa tu. Elimu ya F ya 30 inakusumbua mkuu
  7. N

    Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

    Washikaji mliopo viwanja vya NMC tupen updates za nini kinaendea huko. Halafu wadau wengine achaneni na hao wakin ritz na mzee11 wanataka kuharibu mlolongo wa mzur wa habari kama vp wapotezeeni tu coz hakuna kiongozi wa magamba aliyefanya jambo la kishujaa kamanda lema na huwa wakisikia chadema...
  8. N

    Makamada wapya wa CHADEMA wapokelewa katika tawi la UDOM

    Kumbe humjui MWAKIBINGA ww.? Nitafute bk 10 nikupe details zake acha kudanganya watu ww.
  9. N

    Makamada wapya wa CHADEMA wapokelewa katika tawi la UDOM

    Ndo kaz yenu mliyotumwa kupeleka vi memo kwa kikula. Anyway haki itapatikana tu braaa.... Mpaka sasa mwakibinga ni shujaa. Na hizo njaa zenu watawavua tu ch**pi kule utawala mpya mnako jipendekeza.
  10. N

    Makamada wapya wa CHADEMA wapokelewa katika tawi la UDOM

    Acha dharau ww 1st yr sio mtoto wengine tuna familia zetu hapa shika adabu yako.
  11. N

    Makamada wapya wa CHADEMA wapokelewa katika tawi la UDOM

    Na siasa pia coz man is a political animal by nature na wanasoma siasa pale acha wa practice. BIG UP vijana.
  12. N

    Makamada wapya wa CHADEMA wapokelewa katika tawi la UDOM

    Ki ukweli CCM inaogopa vijana hasa wasomi sababu walifikiri UDOM itakuwa ngome yao ya kuwateka vijana, lakinI kumbe UDOM sasa ni kama waasi wa Bhengazi wapigania haki na uhuru. Na ndio maana kila siku zengwe huwa zinaundwa kwa watu waliokuwa wanajulikana kama nguvu ya umma na hata wale...
  13. N

    Mwigulu Nchemba Balaaaaa

    Mvulie chupi basi....
  14. N

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Ukiwaona ditopile mzuzuri
Back
Top Bottom